M24 Headquarters-Kigali
JF-Expert Member
- Jul 9, 2012
- 8,199
- 8,186
Hii ni nchi tajiri sana.DAR - DODOMA Inakuwa busy jumapili maana ni mashindano ya V8 barabarani
Wengi wetu hatujuagi hivyo until it’s done deal 😳😂Yana mwisho na mwisho wake huo si mzuri kwa baadhi yao
Sana sana ila hatujui tufanye nini na huo utajiri wake !Hii ni nchi tajiri sana.
Waache tu wafaidi, ipo siku tu!1. V8 zinatembezwa mwanzo-mwisho (400-1000kms) ifikapo weekend. Hapo NI mbali na wanasofiri na ndege, SGR Lila weekend kwa gharama za mwajiri wao.
2. Hii si sawa kwa walipa Kodi.
Destinations: Dar, Arusha na Mwanza kuponda Raha.
Dona KantriHii ni nchi tajiri sana.
NINYI NDIO MNATUANGUSHA MKO KAMBINI LKN MNAOGOPA KUFANYA KM AKINA DOE AU TRAORE?Huu upumbavu siwezi kuvumilia
Leo tu mitaa ya mirembe pale traffic kanisimamisha eti nisubiri magari ya wakuu watapita .
Nikawasha pikipiki nikasepa siwezi kusubiri ujinga huo kama angetaka kunishtaki aende kambini atanikuta
Ccm ni mchwa wanakula hawashibi1. V8 zinatembezwa mwanzo-mwisho (400-1000kms) ifikapo weekend kisha kurudi Dom J3 alfajiri. Hapo NI mbali na wanaosafiri na ndege, SGR kila weekend kwa gharama za mwajiri wao.
2. Hii si sawa kwa walipa Kodi. Maendeleo tutasikia kwa Wenzetu arabuni
Destinations: Dar, Arusha na Mwanza kuponda Raha.
Watoto wa vyuo wanaliwa vipira sana na waheshimiwa 😄Acha wale raha...unakuta hapo anaendeshwa huku nyuma anatombah demu..
Mwisho lini mkuu?Yana mwisho na mwisho wake huo si mzuri kwa baadhi yao