PureView zeiss
JF-Expert Member
- Sep 5, 2016
- 10,786
- 35,916
Hatari sana, muda wote wanaovertake Tu na vimulimuli vyaoWeekend tunaziona mashine tu njiani
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hatari sana, muda wote wanaovertake Tu na vimulimuli vyaoWeekend tunaziona mashine tu njiani
Familia zao hutaki wazisalimie ? Ni kosa kurudi week end ? Kama ni SGR si ndiyo wanachangia pato la nauli ?1. V8 zinatembezwa mwanzo-mwisho (400-1000kms) ifikapo weekend kisha kurudi Dom J3 alfajiri. Hapo NI mbali na wanaosafiri na ndege, SGR kila weekend kwa gharama za mwajiri wao.
2. Hii si sawa kwa walipa Kodi. Maendeleo tutasikia kwa Wenzetu arabuni
Destinations: Dar, Arusha na Mwanza kuponda Raha.
Kuisalimia familia yako nenda na gari yako binafsi siyo gari ya serikali ,,hayo ni matumizi mabaya ya mali za umma , ofisi zilipohamia dodoma ilisisitizwa kila mmoja mmoja ahamie dodoma au huelewi maana ya kuhamia ? Na siyo ajabu huyo unayemtetea alipewa mpaka hela ya kufunga mizigo + plus usumbufu lakini ameweka takoni sijui unatetea niniFamilia zao hutaki wazisalimie ? Ni kosa kurudi week end ? Kama ni SGR si ndiyo wanachangia pato la nauli ?
wote wanaponda raha1. V8 zinatembezwa mwanzo-mwisho (400-1000kms) ifikapo weekend kisha kurudi Dom J3 alfajiri. Hapo NI mbali na wanaosafiri na ndege, SGR kila weekend kwa gharama za mwajiri wao.
2. Hii si sawa kwa walipa Kodi. Maendeleo tutasikia kwa Wenzetu arabuni
Destinations: Dar, Arusha na Mwanza kuponda Raha.
Dar-Moro -Dodoma highway vinapishana Ving'ora tu. ***Ukizubaa na IST wanakuzoa tuwote wanaponda raha
si mawaziri
wabunge
majaji
ras
nimepishana nazo nyingi pia za jw aisee
Aiseee una kichwa kichafuuuu🤣Acha wale raha...unakuta hapo anaendeshwa huku nyuma anatombah demu..
Sawa mkuu, vipi wanaorudi kwa SGR na kwa nauli zao ?Kuisalimia familia yako nenda na gari yako binafsi siyo gari ya serikali ,,hayo ni matumizi mabaya ya mali za umma , ofisi zilipohamia dodoma ilisisitizwa kila mmoja mmoja ahamie dodoma au huelewi maana ya kuhamia ? Na siyo ajabu huyo unayemtetea alipewa mpaka hela ya kufunga mizigo + plus usumbufu lakini ameweka takoni sijui unatetea nini
Hao ndiyo wapo radhi wafe,ila mama arudi mwakani kwenye urais,maana wanaponda raha hatari,kwakweli wabunge ambao ikitokea wataanguka hata kwenye kura za maoni,watafadhaika sana.Nchi ina hela hii.wote wanaponda raha
si mawaziri
wabunge
majaji
ras
nimepishana nazo nyingi pia za jw aisee
Kwahiyo ww hupendi CCM sioHii nchi siku wananchi wakijua mambo wanayofanyiwa inaweza kutokea shida kubwa.
Waheshimiwa mliojisahau na kuona mkiwa na vyeo kazi yenu ni kusosomola tu, hii ni mbaya sana, stukeni na kurudi kwenye mstari kabla raia hawajaamka na kuanza kudai haki zao na mali zao.
Hawa mnaowaona wapumbavu kuna siku wataamka watadhalilisha familia zenu na vizazi vyenu, watawakia umasikini na bado mtabaki na laana ya kuumiza na kuua.
Uongozi wa umma maana yake ni kutumikia wananchi sio kuumiza wananchi.
Kama kwa sgr it means unalipa nauli yako hiyo siyo shida ila ishu ni kutumia v 8 ya sirikali kwenda nayo das lamu hayo ndiyo matumizi mabaya ya mali za ummaSawa mkuu, vipi wanaorudi kwa SGR na kwa nauli zao ?
Nakufanyia mchongo uwe mkurugenzi wa tarura, vipi kule Dodoma utakuwa unarudi Dsm na dereva au utatumia ndege ama SGRKama kwa sgr it means unalipa nauli yako hiyo siyo shida ila ishu ni kutumia v 8 ya sirikali kwenda nayo das lamu hayo ndiyo matumizi mabaya ya mali za umma
Ntarudi na sgr au kwa ndege mkuu sitataka kutumia mali ya umma vibaya 😂😂😂😂Nakufanyia mchongo uwe mkurugenzi wa tarura, vipi kule Dodoma utakuwa unarudi Dsm na dereva au utatumia ndege ama SGR
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] wanamkunbuka magufuli..sema bwana yule alikuwana skendo za utekaji ndo maana Kuna watu walimchukiaWakati Magu anadhibiti huu upuuzi mlimuona mbaya, wabongo ni kikundi Cha majuha hayajui yanaataka nini.