Dodoma hakukaliki, V8 zapishana highway

Dodoma hakukaliki, V8 zapishana highway

Hahaha, lipeni kodi kwa akili na kiasi.kama unanafasi ya kupunguza..do it. Otherwise unalipa kodi ili watu waweke mafuta kwenye mav8..halafu wanatutisha nayo barabarani.
Na walivyo na haraka sasa unaweza waza sijui kuna la maana lipi wanaenda kufanya..wakati wanashindwa kutoa majibu hata kwa wananchi wao waliopotea na kuuwawa.
Hii nchi ni tajiri sana ila sasa...ubinafsi, akili ndogo, wizi, ubadhirifu, ujanjaujanja, short cuts...etc ndo zinatumaliza
 
1. V8 zinatembezwa mwanzo-mwisho (400-1000kms) ifikapo weekend kisha kurudi Dom J3 alfajiri. Hapo NI mbali na wanaosafiri na ndege, SGR kila weekend kwa gharama za mwajiri wao.

2. Hii si sawa kwa walipa Kodi. Maendeleo tutasikia kwa Wenzetu arabuni

Destinations: Dar, Arusha na Mwanza kuponda Raha.
Familia zao hutaki wazisalimie ? Ni kosa kurudi week end ? Kama ni SGR si ndiyo wanachangia pato la nauli ?
 
Familia zao hutaki wazisalimie ? Ni kosa kurudi week end ? Kama ni SGR si ndiyo wanachangia pato la nauli ?
Kuisalimia familia yako nenda na gari yako binafsi siyo gari ya serikali ,,hayo ni matumizi mabaya ya mali za umma , ofisi zilipohamia dodoma ilisisitizwa kila mmoja mmoja ahamie dodoma au huelewi maana ya kuhamia ? Na siyo ajabu huyo unayemtetea alipewa mpaka hela ya kufunga mizigo + plus usumbufu lakini ameweka takoni sijui unatetea nini
 
1. V8 zinatembezwa mwanzo-mwisho (400-1000kms) ifikapo weekend kisha kurudi Dom J3 alfajiri. Hapo NI mbali na wanaosafiri na ndege, SGR kila weekend kwa gharama za mwajiri wao.

2. Hii si sawa kwa walipa Kodi. Maendeleo tutasikia kwa Wenzetu arabuni

Destinations: Dar, Arusha na Mwanza kuponda Raha.
wote wanaponda raha
si mawaziri
wabunge
majaji
ras
nimepishana nazo nyingi pia za jw aisee
 
Kuisalimia familia yako nenda na gari yako binafsi siyo gari ya serikali ,,hayo ni matumizi mabaya ya mali za umma , ofisi zilipohamia dodoma ilisisitizwa kila mmoja mmoja ahamie dodoma au huelewi maana ya kuhamia ? Na siyo ajabu huyo unayemtetea alipewa mpaka hela ya kufunga mizigo + plus usumbufu lakini ameweka takoni sijui unatetea nini
Sawa mkuu, vipi wanaorudi kwa SGR na kwa nauli zao ?
 
Hii nchi siku wananchi wakijua mambo wanayofanyiwa inaweza kutokea shida kubwa.

Waheshimiwa mliojisahau na kuona mkiwa na vyeo kazi yenu ni kusosomola tu, hii ni mbaya sana, stukeni na kurudi kwenye mstari kabla raia hawajaamka na kuanza kudai haki zao na mali zao.
Hawa mnaowaona wapumbavu kuna siku wataamka watadhalilisha familia zenu na vizazi vyenu, watawakia umasikini na bado mtabaki na laana ya kuumiza na kuua.
Uongozi wa umma maana yake ni kutumikia wananchi sio kuumiza wananchi.
Kwahiyo ww hupendi CCM sio
 
Wakati Magu anadhibiti huu upuuzi mlimuona mbaya, wabongo ni kikundi Cha majuha hayajui yanaataka nini.
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] wanamkunbuka magufuli..sema bwana yule alikuwana skendo za utekaji ndo maana Kuna watu walimchukia
 
Back
Top Bottom