didy muhenga
JF-Expert Member
- Nov 8, 2022
- 861
- 1,476
Aya fungulia goli hio
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Samia anapaswa kusitisha uchomaji huu wa fedha za maskini!1. V8 zinatembezwa mwanzo-mwisho (400-1000kms) ifikapo weekend kisha kurudi Dom J3 alfajiri. Hapo NI mbali na wanaosafiri na ndege, SGR kila weekend kwa gharama za mwajiri wao.
2. Hii si sawa kwa walipa Kodi. Maendeleo tutasikia kwa Wenzetu arabuni
Destinations: Dar, Arusha na Mwanza kuponda Raha.
Weekend tunaziona mashine tu njianiDAR - DODOMA Inakuwa busy jumapili maana ni mashindano ya V8 barabarani
Si Mpaka wastaafu.Yana mwisho na mwisho wake huo si mzuri kwa baadhi yao
Sio kwamba imekosekana supervision? Sasa hivi ni kama wakubwa wanajifanyia wanacho kiona kinafaa, no control tofauti na enzi za mwendazakeUamuzi wa kuhamisha makao makuu ulikuwa hauna tija wala sababu za maana tena.
Labda sababu alisema Nyerere! Matokeo yake ndiyo hayo sasa.
😂😂😂😂acha dharau mkuu yani kiongozi atombee kwenye v 8 ili hali chumba kwa show time hadi 3000Acha wale raha...unakuta hapo anaendeshwa huku nyuma anatombah demu..
Nilimsikia Magufuli akisema hivyo pia!!Hii ni nchi tajiri sana.
Hata yeye hakuwa na sababu zaidi ya ile "Mwalimu alisema" tumekuwa kama waabudu mizimu tu.Sio kwamba imekosekana supervision? Sasa hivi ni kama wakubwa wanajifanyia wanacho kiona kinafaa, no control tofauti na enzi za mwendazake
Hata Kigamboni DSM tulikua na Ma V8 leo,Kigamboni ilichangamka sana leo kuanzia eneo la mnadani kuelekea Ferry, Gwanda tupu zimesambaa hadi machizi wa kuigiza kutoka Eagle House walikuwepo!!Dodoma imechafuka V8 kama tupo kiwandani Japan
Mwisho upi? Hakuna mwisho wake na kama upo ni siku wewe unakufa.Yana mwisho na mwisho wake huo si mzuri kwa baadhi yao
Mpaka wakubwa zetu waamue mkuu sisi tunapokea order tu.NINYI NDIO MNATUANGUSHA MKO KAMBINI LKN MNAOGOPA KUFANYA KM AKINA DOE AU TRAORE?
Hatari sana, muda wote wanaovertake Tu na vimulimuli vyaoWeekend tunaziona mashine tu njiani