Pre GE2025 Dodoma: Job Ndugai akumbana na maswali ya mpiga kura Jimboni kwake

Pre GE2025 Dodoma: Job Ndugai akumbana na maswali ya mpiga kura Jimboni kwake

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Katika mkutano wa Wananchi na Mbunge jimboni Kongwa Spika Mstaafu Mzee Job Ndugai ametambua nguvu ya Chadema na kuwakaribisha Kwenye Uchaguzi

Nimeshangaa sana 🐼

Baadae Mlale unono 😀
Unashangaa? Wanatambulika TZ ile nyomi ya wazuia maandamano?
 
Mzee wa ovyo kabisa huyu
 

Attachments

  • downloadfile-11.jpg
    downloadfile-11.jpg
    30.5 KB · Views: 1
Kuna Kila dalili uchaguzi mkuu 2025, utakuwa mgumu kwenye majimbo watu waliopita bila kupingwa
Mgumu sana watu watauana sana kama samia asipoingilia kati na kupitisha anaowataka vita ni kubwa sana.
 
Back
Top Bottom