Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hana mpini hapo alipo?Aliyekuwa Spika wa Bunge ambaye ni Mbunge wa Jimbo la Kongwa mkoani Dodoma, Job Ndugai amekumbana na maswali magumu kutoka kwa wapiga kura wake alipowatembelea na kuzungumza nao.
Job Ndugai amekumbana na maswali magumu kutoka kwa wapiga kura wake alipowatembelea na kuzungumza nao.
Kabisa, technical question ile 😅.Na aliposema "weka mgombea wako tupambane" hapo atakuwa amekiri kuwa yeye (Ndugai) atagombea tena uchaguzi ujao, au vipi?
Aisee Mfaume kashaitwa ni CDM ila swala la Ayubu Mungu afanye tu maamuziMfaume the best, ila tu asishangae akitekwa kwa kauli kwamba polisi ndio waliandamana. Na kama ukisikiliza vizuri kadri alivyoendelea kuuliza swali lake ndugai ndivyo alivyokuwa ananywea, badala ya kujibu swali anasema na wewe weka mgombea wako wa chadema wakati mkutano sio wa chadema wala wa ccm.
Ila wagogo kuua mtu ni kama kuua mbwaView attachment 3111544
Mbwa kala mbwa