Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Wanyoosha vidole wamefikiwa[emoji1787]
Hachelewiiii huyuu.Asije akarusha fimbo kama alivomtandika dokta chilongani 2015
Na aliposema "weka mgombea wako tupambane" hapo atakuwa amekiri kuwa yeye (Ndugai) atagombea tena uchaguzi ujao, au vipi?Mfaume the best, ila tu asishangae akitekwa kwa kauli kwamba polisi ndio waliandamana. Na kama ukisikiliza vizuri kadri alivyoendelea kuuliza swali lake ndugai ndivyo alivyokuwa ananywea, badala ya kujibu swali anasema na wewe weka mgombea wako wa chadema wakati mkutano sio wa chadema wala wa ccm.
Angalau hata kama huko jimboni kwake hajfanya mengi, basi wangempa hata Pongezi kidogo kwa kuliona balaa hili likiwa linakuja kuiangamiza nchi mpaka akajitoa muhanga na kupaaza sauti yake kuonya na kukemea hili. Ingawa alishindwa kusimamia kauli yake hadi mwisho ila his heroic message was sent and clearly delivered though to the deaf ears. Lakini atakumbukwa daima kwa kulikema hili katika vitabu vya Historia ya Tanganyika .Kwamba Speaker wa wakati huo alijaribu kuonya na kukemea hili balaa ambalo litakuja kuwateza viazi vijavyo kubebana na huo mzigo mzito kwa Taifa. Ikitokea tukawa tumepigwa mnada sijajua wakati huo watakuwa ni raia wa nchi gani atakayekuwa ametoa the highest bid in the auction. Ila nina uhakika hawatakuwa wamechukuliwa na Burundi wala Kenya maana nao ni kama sisi na watakuwa na hatima kama ya kwao. May be Chinese?Nakumbuka maneno yake "nchi itauzwa ".
Kwani kikomo cha Umri wa Ubunge ni miaka mingapi Mkuu? It is an open ended position sir ! No age limit, no term limit, ova !Nafhani huu ndio uchaguzi wake wa mwisho
Huyu Ndugai nae ifike mahala...Aliyekuwa Spika wa Bunge ambaye ni Mbunge wa Jimbo la Kongwa mkoani Dodoma, Job Ndugai amekumbana na maswali magumu kutoka kwa wapiga kura wake alipowatembelea na kuzungumza nao.
Wewe tunakujua, hata kwa Jembe ulisherehekea .Ndugai na Samia wakifa siwezi kulia hata kidogo
Hasa tukiacha uchawa unaoendekezwa na njaa zetu. Ukweli tunaujua ila njaa haina bouncer mkuu.Jamaa ni kichwa.
Bongo tukiacha kuwachekea hawa viongozi kuna mahala tunaweza fika.
Kwani wewe hauutaki au hauuwezi?Kwani Bado anataka ubunge?
Mbona jamaa bado mbichi sana !Nafhani huu ndio uchaguzi wake wa mwisho
Katika mkutano wa Wananchi na Mbunge jimboni Kongwa Spika Mstaafu Mzee Job Ndugai ametambua nguvu ya Chadema na kuwakaribisha Kwenye Uchaguzi
Nimeshangaa sana 🐼
Kwenye lugha ya kiswahili nadhani kuna upungufu mkubwa wa maneno!Baadae Mlale unono 😀
Kama sijakosea aliwahi kusema hatogombea Tena 2025Kwani wewe hauutaki au hauuwezi?
Kujiuzulu ni Kustaafu kwa hiyari 😀Kwenye lugha ya kiswahili nadhani kuna upungufu mkubwa wa maneno!
Ndugai hakustaafu, alijiuzulu kama ambavyo Lowasa Pm alifanya.
Ninavyoelewa Mtumishi anapostaafu kwa heshima ana hadhi yake na mafao yake ya pensheni tofauti na mtu aliyewajibika kwa kujiuzulu ama kufukuzwa.
Sasa tuseme neno stahiki la kiongozi ama mtumishi wa umma aliyeacha/kuachishwa utumishi wa umma huwa halipo kupelekea tuishie kuwaita wastaafu?