Detective J
JF-Expert Member
- Oct 17, 2016
- 24,058
- 41,518
Nafhani huu ndio uchaguzi wake wa mwishoKatika mkutano wa Wananchi na Mbunge jimboni Kongwa Spika Mstaafu Mzee Job Ndugai ametambua nguvu ya Chadema na kuwakaribisha Kwenye Uchaguzi
Nimeshangaa sana πΌ
Baadae Mlale unono π
Unashangaa Nini?Katika mkutano wa Wananchi na Mbunge jimboni Kongwa Spika Mstaafu Mzee Job Ndugai ametambua nguvu ya Chadema na kuwakaribisha Kwenye Uchaguzi
Nimeshangaa sana πΌ
Baadae Mlale unono π
Huyo mzee wa kigogo kaichukia sana CCM baada ya kutemeshwa uspika.ubaya ubwela.Katika mkutano wa Wananchi na Mbunge jimboni Kongwa Spika Mstaafu Mzee Job Ndugai ametambua nguvu ya Chadema na kuwakaribisha Kwenye Uchaguzi
Nimeshangaa sana πΌ
Baadae Mlale unono π
πππUnashangaa Nini?
Kwani hiko siyo chama Cha upinzani kinachotambulika rasmi Kwenye nchi yetu??
Kuna sehemu insta nimeona Kuna jamaa sijui ni kukuchafua au la...eti anauza picha zako za sirini Kwa 25k kwa jina lako...au majina yanafanana?Mfa maji huyo, anatapatapa.
Haiwezi kuwa mimi Mkuu, kwa maana hakuna mwenye picha zangu za sirini.Kuna sehemu insta nimeona Kuna jamaa sijui ni kukuchafua au la...eti anauza picha zako za sirini Kwa 25k kwa jina lako...au majina yanafanana?
Mbona anakutaja kwa jina lako hilo?au nikuletee screenshot?Haiwezi kuwa mimi Mkuu, kwa maana hakuna mwenye picha zangu za sirini.
Nitumie PM Mkuu, Asante.Mbona anakutaja kwa jina lako hilo?au nikuletee screenshot?
Isije ikawa tisha nyau hiiMbona anakutaja kwa jina lako hilo?au nikuletee screenshot?
Unashangaa? Wanatambulika TZ ile nyomi ya wazuia maandamano?Katika mkutano wa Wananchi na Mbunge jimboni Kongwa Spika Mstaafu Mzee Job Ndugai ametambua nguvu ya Chadema na kuwakaribisha Kwenye Uchaguzi
Nimeshangaa sana πΌ
Baadae Mlale unono π
Mgumu sana watu watauana sana kama samia asipoingilia kati na kupitisha anaowataka vita ni kubwa sana.Kuna Kila dalili uchaguzi mkuu 2025, utakuwa mgumu kwenye majimbo watu waliopita bila kupingwa