Ninatoa wito kwa Rais Samia na serikali yake kuchukua hatua za haraka kuhusu hali ya maendeleo katika Jimbo la Chunya na Lupa, Mkoa wa Mbeya, kulingana na ilani ya CCM ya 2020-2025. Ni jambo la kusikitisha kwamba, licha ya kuwa na madiwani wote na wabunge wawili kutoka CCM, hakuna miradi ya...