Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Duu wakiona mama pekeyake wanaojihusisha na hiyo KAZI wanazidi 100000 wengine ni rahisi kuboresha mambo Yao hawajataka Tu Kufanya hivyo wanadubiri serikali ukigusa Tu serikali haifanyi biashara..Inafanya biashara,wewe huoni inavyonunua ndege pia Mgodi wa Acacia umepewa jina la Twiga,na hicho kiwanda kitakacho ajili watu laki moja,nadhani ni idadi ya Wamachinga ,madereva wa boda na mama lishe,wamefikia laki moja kwa Dodoma.
Uandishi wako unatosha kuonesha kiwango chako cha elimu, kabla ya kujikita kwenye mambo yasiyo na tija kwako bora ungeutumia muda kujiongeza kielimu.Hatimaye serikali umeamua kufungua kiwanda kikubwa na cha kisasa cha kupack mbogamboga maana saizi akina mama wengi wanafunga mboga zao saizi serikali umeamua kuboresha na kuandaa kiwanda kitakacho ajili watu 100,000 na kupewa mishahara ya laki 5..
Hakika hakuna kiwanda kilichokufa vyote vipo Kwa ajili ya story ya kuvifufua
Ushauri sahihi sana Mkuu....!!Uandishi wako unatosha kuonesha kiwango chako cha elimu, kabla ya kujikita kwenye mambo yasiyo na tija kwako bora ungeutumia muda kujiongeza kielimu.
Hii si ni rock city mall, hakika mnachanganyikiwaMwonekano likikamilika
Hahaha hawa hapa wamemaliza tukutane mtaani kuweka uraSIMU kwenye bidhaa ili tupate ajila la sivyo mtakuwa na uandishi mbovu kushindwa MieUandishi wako unatosha kuonesha kiwango chako cha elimu, kabla ya kujikita kwenye mambo yasiyo na tija kwako bora ungeutumia muda kujiongeza kielimu.
Ndiyo KAZI fa Siasa ya fasheni watu ndio KAZI Yao kutoa ahadi kucopy fursa hata Rais magufuli anaphotocopy yake
Nextime nitaweka urasimu kwenye viazi ili hawa waenjoy mlizani KAZI KUZALIANA wakati BOT haina utamaduni wa mtoto ni bidhaa mtakuwa elimu wenyewe (hayo Ndiyo Mapenzi ya kiooo)
Maana vijana wanathani watu hawapack bidhaa wakati wanapima na kuweka kwenye Rambo hapa hata Mie sielewi ni Bora itakuwa maisha ya kunukia kama UDI
Maana vijana wanathani watu hawapack bidhaa wakati wanapima na kuweka kwenye Rambo hapa hata Mie sielewi ni Bora itakuwa maisha ya kunukia kama UDI
Ni Bora muendelee kudharau industry za wenzenu wakati mnajazana kwenye taasisi ambazo hazijui maisha ya hela KUINGIA KWENYE MZUNGUKO endeleeni kuonesha ishara kwenye kampeni ya kuzungusha mikono haya labda wengiKiwanda kinachoajiri watu laki moja! Mmh aisee hii fiksi Sasa imezidi unajua mkusanyo wa watu laki moja ww? Yaani watu wajae taifa stadium mbili uwakusanye kwenye kiwanda kimoja and then at end of month uwalipe 500,000, mmh ndo maana wasiojua kusoma na kuandika ndo mashabiki wenu wa hilo chama!
kwa mshahara wa 500,000
Labda mboga mboga anazoongelea ni zile chanikiwiti kwenye mashati ya CCMkwa ukame ule mboga zitatoka wapi?tusubiri farkwa dam project!!!
Ni Bora wakenya walikuwepo hizi Ndiyo Siasa asiyeziweza Zitto maana anataka aongoze Taiga kwenye stress sanaLabda mboga mboga anazoongelea ni zile chanikiwiti kwenye mashati ya CCM
Ujamaa wa Wizara ya Ardhi mkuu