Dodoma: Maadhimisho ya Mei Mosi, Waliofukuzwa kwa vyeti feki kulipwa, ahadi ya Nyongeza ya Mishahara yatolewa, Unyanyasaji kazini wakemewa

Dodoma: Maadhimisho ya Mei Mosi, Waliofukuzwa kwa vyeti feki kulipwa, ahadi ya Nyongeza ya Mishahara yatolewa, Unyanyasaji kazini wakemewa

Hakuna kikubwa na cha ajabu atakachofanya kwa wafanyakazi wa Tanganyika huyo mkoloni kutoka Zanzibar

Kama hela nyingi anapeleka sehemu ndogo kama Zanzibar je hiyo ya kuwaongezea watanganyika mishahara kwa rate za maana ikowapi?
Hili ni suala la muhimu sana kwani linagusa maslahi ya watumishi WA Nchi hii.

Mlioko karibu hapo JAMHURI STADIUM Tupeni update kinachoendelea, maana kumbukeni wengine ruko Huku Buzilankende.
 
kilio kikubwa cha watumishi ni mishahara,
lkn nadhani kuna watumishi wanalipwa mamilioni, sasa kweli hao wanapaswa kuongezwa?! sidhani.
wanao paswa ni wale wa kima cha kawaida/chini. ili angalau na wao wainuke
Kuongeza mishahara, bila kudhibiti mfumuko wa bei, na kupunguza Makati umivu ya kodi, ushuru na kadhalika nisawa na kuumiza wafanyakazi.

Kwa sababu jamii itawaona wao wamenufaika sana kiasi Kila hutaki litaelekezwa kwao.
 
KIKOKOTO !!KIKOKOTO KIKOKOTO NIKITANZI CHA CHUMA KWA WAFANYAKAZI SEKTA BINAFSI

bango linapita kimyakimya humuhumu
 
Wafanyakazi wakisubiri ongezeko la mishahara.
E-oFk44WYAEJZyZ.jpeg
 
Hili ni suala la muhimu sana kwani linagusa maslahi ya watumishi WA Nchi hii. Mlioko karibu hapo JAMHURI STADIUM Tupeni update kinachoendelea, maana kumbukeni wengine ruko Huku Buzilankende.
Haya mzee wa Buzilankende chukua hiyo link chini usikilize mwenyewe

 
Tatizo lipo hapo tu, wafanyakazi wanawaza nyongeza ya mshahara. Taifa linawaza wafanyakazi watalifanyia nini.

Rais alitamka kuja na pekeji, Nchi inajiuliza pekeji itatoea wapi?.Mfumuko wa bei unaonesha misuli yake na kuhatarisha kabisa uwepo wa nyongeza.

Kwa kifupi, Rais yupo katika "Dilemas of the Ghost". Imani iliyopo ni kuwa ipo faraja kutoka kwa Mama.

Wananchi wapo katika hali ya bumbwaz wanaangalia ila ni kama hawaoni mbele yao. Ukungu wa gharama za vitu umewazuia kabisa kuamini kuwa kuna mwanga mbele. Kinachowasaidia ni tumaini la uwepo wa nuru mpya.
 
Dawa ya kupata mshahara mkubwa ni kuacha kazi na kwenda kufanya kazi nyingine, namaanisha usiache kazi kwenda kutafuta kazi nyingine bali tafuta kazi nyingine ukipata kazi andika 30 days notice kisha nenda kafanye kazi mpya, shida watumishi wengi wa serikali wanataka wakae serikalini mpaka wastaafu...ifike mahala unafanya kazi miaka 5 unatimka sehemu nyingine kutumia uzoefu wako sio unakomaa tu serikalini unasubiri huruma ya Rais ya Mei Mosi na akiingia mjuaji hakuna kupandisha mshahara hata miaka 5 kama kwa Rais aliyepita. Na akicheza vizuri na akili za wananchi anawashinda maana watumishi wa serikali hawazidi million 1 kati ya Watz 55million.
 
Dawa ya kupata mshahara mkubwa ni kuacha kazi na kwenda kufanya kazi nyingine, namaanisha usiache kazi kwenda kutafuta kazi nyingine bali tafuta kazi nyingine ukipata kazi andika 30 days notice kisha nenda kafanye kazi mpya, shida watumishi wengi wa serikali wanataka wakae serikalini mpaka wastaafu...ifike mahala unafanya kazi miaka 5 unatimka sehemu nyingine kutumia uzoefu wako sio unakomaa tu serikalini unasubiri huruma ya Rais ya Mei Mosi na akiingia mjuaji hakuna kupandisha mshahara hata miaka 5 kama kwa Rais aliyepita. Na akicheza vizuri na akili za wananchi anawashinda maana watumishi wa serikali hawazidi million 1 kati ya Watz 55million.
Mimi nadhani Maisha yao waachie wenyewe
 
Ngoja tusubiriii!!! Hachomoi leo!!
 
Back
Top Bottom