Dodoma: Maadhimisho ya Mei Mosi, Waliofukuzwa kwa vyeti feki kulipwa, ahadi ya Nyongeza ya Mishahara yatolewa, Unyanyasaji kazini wakemewa

Dodoma: Maadhimisho ya Mei Mosi, Waliofukuzwa kwa vyeti feki kulipwa, ahadi ya Nyongeza ya Mishahara yatolewa, Unyanyasaji kazini wakemewa

Watumishi kila hotuba ya mei mosi wanadai nyongeza ya mshahara tu.

Ila je madai yao yanaendana na kiwango tunachokizalisha kama Taifa.

Maana isijekuwa kila tunachopata kinamwenda kwenye kilipana posho na mishahara tu.

Maendeleo hakuna.

Tugawane keki ndogo tunayoioata kwa kutumia busara.
 
Back
Top Bottom