Mnachihanguuu
JF-Expert Member
- Feb 10, 2023
- 4,385
- 6,443
Hapo ulipo jirekodi unaichana picha ya samia uone kitakachotokea.....hii ndio Tanzania ambayo mimi huwa naamini mahakama ipo kwa ajili ya wenye pesa na vyeoKumbe video sio kielelezo tosha cha kutenda kosa pamoja na kuonekana kwao. Ni mwendo wa kubaka na kuwala tigo zao bila kulemba. Hii ndio Tanganyika ya CHURA anayo itaka.
Mm nilijua haya yoooote baada ya yule kamanda mtuhumiwa kumpiga mkwala ndugu mwandishi. Alikua anajua hakuna kesi ya kujibu. Sasa yule mwandishi kazi anayo kamanda anarejelea kitaa kama alivyo ahidi atamtafuta.kumekucha kumekucha ndugu mwandishi. Kaa mkao wa kuliwa.