Dodoma: Majibizano ya Risasi Kati ya Polisi na Mtuhumiwa yaua askari Polisi Wawili na Mtuhumiwa mwenyewe!

Polisi poleni kwa loss ya kuondokewa na vijana wenu wawili wakiwa kazini.

Tuendelee kudhibiti uhalifu unaoenea kwa kasi sana. Masuala ya kisiasa achaneni nayo naaba siyo kazi tunayowalipa mshahara.

A moment of silence for the fallen heroes. May their memory be a blessing
 
Ukiona mtu anashangilia kuuawa kwa polisi jua mtu huyo ni jambazi linalnatakiwa kuuawa tena bila kulihoji wala ushahidi wa ujambazi wake ni kulitwanga risasi tu ukiona linashangilia kifo cha kuuawa polisi
Umri wako na unachoandika ni kama pilau kwa mlenda.

Andika positively, yale negatively yapite kama hauyaoni
 
Kifo ni kifo tu, no big deal.
Huyo majeruhi naye afe tu.
 
Dawa ya majambazi ni kuyauwa tu.
Polisi msicheleweshe mnapo enda kukamata Jambazi.

Poleni sana kwa Askari walio poteza maosha
Unaenda kumkamata jambazi ambaye unajua ana silaha, lakini huvai bullet proof jacket, kuna kitu cha kujifunza hapo
 
Nakuona ukiwa kwenye mazoezi ya kuua, what goes around comes around. Mkiuawa on action majority ya innocent people wanafurahi , using your common sense can't you figure out the reasons? Whether mlikuwa mnapambana na majambazi(though very few trust whatever you say these days) au mlikuwa kwenye mipango ya kumteka mtu. Reputation yenu mmeiharibu wenyewe kwa kukubali kutumika kisiasa na kwa ufedhuli wenu wa kupenda rushwa, kuonea raia, kudhulumu watu, kuiba na kushirikia na wahalifu vilevile huwa mnashiriki direct kwenye uhalifu especially mkihakikishiwa kwamba kuna fungu la maana kwenye mission husika.
Kalagabaho na ubweze wako.
 
Polisi ndiyo wanaokosesha watu usingizi for your information, hofu za kutekwa na kuuawa zimezidi kutapakaa corners zote za jamuhuri. Bila ya polisi tutapata usingizi mwanana sana so cut your damn bull crap.
 
Ukiona mtu anashangilia kuuawa kwa polisi jua mtu huyo ni jambazi linalnatakiwa kuuawa tena bila kulihoji wala ushahidi wa ujambazi wake ni kulitwanga risasi tu ukiona linashangilia kifo cha kuuawa polisi
Kifo ni kifo, na raia wema wataendelea kushangilia vifo vya hao majambazi na wauaji wavaa sare wanaopokea mshahara kwa pesa za kodi za wananchi.
Mipolisi imekuwa mishenzi na mipumbavu, iendelee kuuawa tu.
 
Polisi ndiyo wanaokosesha watu usingizi for your information, hofu za kutekwa na kuuawa zimezidi kutapakaa corners zote za jamuhuri. Bila ya polisi tutapata usingizi mwanana sana so cut your damn bull crap.
 

Attachments

  • 01c8518100bb154cd686da32845d00b2.jpg
    13 KB · Views: 4
We endeleza ujambazi tu,utafikiwa na wewe utachinjwa vilevile ili raia wema waishi kwa amani,mbwa koko wewe.
 
kwanini hakuua wote maaneeneer , hata aibu hawaoni eti walienda kumkamata usiku wa manane, nadhani dawa ndio hii mpaka waanze kuheshimu watu, maana hao jamaa wanajikuta sana.
Unafurahia polisi kuuwawa?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…