Dodoma: Majibizano ya Risasi Kati ya Polisi na Mtuhumiwa yaua askari Polisi Wawili na Mtuhumiwa mwenyewe!

Dodoma: Majibizano ya Risasi Kati ya Polisi na Mtuhumiwa yaua askari Polisi Wawili na Mtuhumiwa mwenyewe!

Safi Sana kamanda, Umetuwakilisha vema wananzengo! Mungu akuweke mahali panapostahili.
 
kwanini hakuua wote maaneeneer , hata aibu hawaoni eti walienda kumkamata usiku wa manane, nadhani dawa ndio hii mpaka waanze kuheshimu watu, maana hao jamaa wanajikuta sana.
Siku vibaka wakikujaza kwenye 18 zao usiwakimbilie
 
😅😅😅Ila WA Tanzania wamechoshwa jamani. Hozo comments ni shida
 
Back
Top Bottom