Bila bila
JF-Expert Member
- Dec 20, 2016
- 22,168
- 39,118
Ulikuwa hujui ujinga wa Mwigulu? Huyo ndo Uzalendo wa Kitanzania na mabendera yake shingoni.Siku hizi mwalimu kukutana na monitor imekuwa breaking news?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ulikuwa hujui ujinga wa Mwigulu? Huyo ndo Uzalendo wa Kitanzania na mabendera yake shingoni.Siku hizi mwalimu kukutana na monitor imekuwa breaking news?
Makamo wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt Philip Isdory Mpango leo Mei 04, 2021 amekutana na kufanya mazungumzo na Waziri wa Fedha na Mipango Mheshimiwa Mwigulu Nchemba.
Viongozi hao walifanya mazungumzo hayo kufuatia ziara iliyofanywa na Dkt Mwigulu ofisini kwa Dkt Mpango Ikulu ya Chamwino Dodoma.
Taarifa zaidi itatolewa na mamlaka husika
Haswamafunzo ya namna ya kupika report.
Yani hii forum sasa itaenda kudharaulika yani hii nayo ni issue ya kuweka humu?Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt Philip Isdory Mpango leo Mei 04, 2021 amekutana na kufanya mazungumzo na Waziri wa Fedha na Mipango Mheshimiwa Mwigulu Nchemba.
Viongozi hao walifanya mazungumzo hayo kufuatia ziara iliyofanywa na Dkt Mwigulu ofisini kwa Dkt Mpango Ikulu ya Chamwino Dodoma.
Taarifa zaidi itatolewa na mamlaka husika
Ofisi ya serikali tena sehemu nyeti wameweka flati screen mezani kabisa ?inaonyesha hawana kazi za kufanya wanaangaliaga move.Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt Philip Isdory Mpango leo Mei 04, 2021 amekutana na kufanya mazungumzo na Waziri wa Fedha na Mipango Mheshimiwa Mwigulu Nchemba.
Viongozi hao walifanya mazungumzo hayo kufuatia ziara iliyofanywa na Dkt Mwigulu ofisini kwa Dkt Mpango Ikulu ya Chamwino Dodoma.
Taarifa zaidi itatolewa na mamlaka husika
Hivi hiyo TV ofisini wanaitazama saa ngapi?Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt Philip Isdory Mpango leo Mei 04, 2021 amekutana na kufanya mazungumzo na Waziri wa Fedha na Mipango Mheshimiwa Mwigulu Nchemba.
Viongozi hao walifanya mazungumzo hayo kufuatia ziara iliyofanywa na Dkt Mwigulu ofisini kwa Dkt Mpango Ikulu ya Chamwino Dodoma.
Taarifa zaidi itatolewa na mamlaka husika
Hiyo hiyo NEC ya Tanzania .....ndio kegacy ya Mama iko humoTime huru ipi?
Wabongo bhana mnatisha, mnamshutumu Mwendazake kuwa aliminya uhuru wa kupashana habari, sasa mnapewa habari za viongozi wenu kukutana napo mnalalamika! Hivi mnataka mfanyiwe nini?Hivi mbona ni vitu vya kitoto sana au ndo awamu ya 6 kila taarifa tunapewa?
Ofisini Kwa VP Ooop Kama Kwa Mtendaji Wa KijijiMafunzo ya namna ya kupika report.
Ccm Imechoka SanaPipa na Mfuniko.....
Katiba chama chake hakutaki.Ampe dodoso la kuombea pesa WB na IMF haraka maana wameshaomba mkopo jana unatoka haraka kabla mambo hayajaharibika. Mama amalize midude ya mwenda zake then aanze legacy yake hasa katiba na tume huru. Mitano tena kwa mama.
Ujinga ujinga VP anapenda sana cameraHivi mbona ni vitu vya kitoto sana au ndo awamu ya 6 kila taarifa tunapewa?