Dodoma: Makamu wa Rais, Mpango amtembelea Festo Dugange Hospitali ya Benjamin Mkapa

Dodoma: Makamu wa Rais, Mpango amtembelea Festo Dugange Hospitali ya Benjamin Mkapa

benzemah

JF-Expert Member
Joined
Nov 19, 2014
Posts
1,533
Reaction score
3,187
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. Philip Mpango amemtembelea na kumjulia hali Naibu Waziri wa Ofisi ya Rais (TAMISEMI), Dk Festo Dugange ambaye amelazwa katika Hospitali ya Rufaa ya Kanda ya Benjamin Mkapa mjini Dodoma akipatiwa matibabu baada ya kupata ajali ya gari.

Habari toka vyanzo mbalimbali zinaeleza Dk Dugange alipata ajali hiyo usiku wa kuamkia Aprili 26, 2023. Hata hivyo, mpaka sasa si Jeshi la Polisi wala viongozi wa wizara yake waliokuwa tayari kuthibitisha kuhusua ajali ya kiongozi huyo.

Kwa mujibu wa picha ya inayomuonesha Makamu wa Rais akiwa hospitalini, Naibu Waziri huyo amevunjika mkono wa kulia.
WhatsApp Image 2023-04-29 at 16.41.24.jpeg
 
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. Philip Mpango amemtembelea na kumjulia hali Naibu Waziri wa Ofisi ya Rais (TAMISEMI), Dk Festo Dugange ambaye amelazwa katika Hospitali ya Rufaa ya Kanda ya Benjamin Mkapa mjini Dodoma akipatiwa matibabu baada ya kupata ajali ya gari.

Habari toka vyanzo mbalimbali zinaeleza Dk Dugange alipata ajali hiyo usiku wa kuamkia Aprili 26, 2023. Hata hivyo, mpaka sasa si Jeshi la Polisi wala viongozi wa wizara yake waliokuwa tayari kuthibitisha kuhusua ajali ya kiongozi huyo.

View attachment 2603789
Tubaki tu njia kuu
 
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. Philip Mpango amemtembelea na kumjulia hali Naibu Waziri wa Ofisi ya Rais (TAMISEMI), Dk Festo Dugange ambaye amelazwa katika Hospitali ya Rufaa ya Kanda ya Benjamin Mkapa mjini Dodoma akipatiwa matibabu baada ya kupata ajali ya gari.

Habari toka vyanzo mbalimbali zinaeleza Dk Dugange alipata ajali hiyo usiku wa kuamkia Aprili 26, 2023. Hata hivyo, mpaka sasa si Jeshi la Polisi wala viongozi wa wizara yake waliokuwa tayari kuthibitisha kuhusua ajali ya kiongozi huyo.

Kwa mujibu wa picha ya inayomuonesha Makamu wa Rais akiwa hospitalini, Naibu Waziri huyo amevunjika mkono wa kulia.
View attachment 2603789
Yule mwanamke aliyefumaniwa naye amezikwa wapi?
 
Nchi za wenzetu waliotuzidi maarifa huyo angeenda kutembelewa na staff tuseme wa municipal mfano ya Kinondoni (tena wale aliokwisha fanya nao kazi) halafu huku nyuma raisi anabaki akiteuwa mtu mwengine anayehisiwa kuwa na maadili na mali za umma.

Ila kwa sababu ndiyo hivyo Africa hatuna utaratibu wa kuwajibika haya mambo yanaachwa yaendelee.
 
Amuonye kama yanayosemwa ni kweli,kuchepuka na mke wa mtu,siyo vema.
 
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. Philip Mpango amemtembelea na kumjulia hali Naibu Waziri wa Ofisi ya Rais (TAMISEMI), Dk Festo Dugange ambaye amelazwa katika Hospitali ya Rufaa ya Kanda ya Benjamin Mkapa mjini Dodoma akipatiwa matibabu baada ya kupata ajali ya gari.

Habari toka vyanzo mbalimbali zinaeleza Dk Dugange alipata ajali hiyo usiku wa kuamkia Aprili 26, 2023. Hata hivyo, mpaka sasa si Jeshi la Polisi wala viongozi wa wizara yake waliokuwa tayari kuthibitisha kuhusua ajali ya kiongozi huyo.

Kwa mujibu wa picha ya inayomuonesha Makamu wa Rais akiwa hospitalini, Naibu Waziri huyo amevunjika mkono wa kulia.
View attachment 2603789
Get well soon!.
P
 
Hili tukio limenifanya niwaze mbali sana, pia kunikumbusha kauli za marehemu mzee wangu, alikuwa akiniambia (jina) usiache kumhofia Mungu kwa vile huna uhakika kama yupo au hayupo, wewe mhofie ili usitende mambo ya hovyo kwa vile kutenda mambo ya hovyo kuna hasara siku zote, ni bora utende mema ili kama Mungu yupo uwe mahali salama, lakini pia kama hayupo utaepuka hizo hasara za kutenda mambo ya hovyo.....Nafikiria hasara/aibu/fedheha na dhambi alizopata huyu N/Waziri, na si ajabu akapoteza na kazi kama maadili yakifuatwa, Mkewe/Watoto/Familia wanamuonaje wakienda hapo Hospital......RIP Mdingi wangu, ushauri wako umeniweka mahali salama siku zote katika maisha yangu.
 
Hili tukio limenifanya niwaze mbali sana, pia kunikumbusha kauli za marehemu mzee wangu, alikuwa akiniambia (jina) usiache kumhofia Mungu kwa vile huna uhakika kama yupo au hayupo, wewe mhofie ili usitende mambo ya hovyo kwa vile kutenda mambo ya hovyo kuna hasara siku zote, ni bora utende mema ili kama Mungu yupo uwe mahali salama, lakini pia kama hayupo utaepuka hizo hasara za kutenda mambo ya hovyo.....Nafikiria hasara/aibu/fedheha na dhambi alizopata huyu N/Waziri, na si ajabu akapoteza na kazi kama maadili yakifuatwa, Mkewe/Watoto/Familia wanamuonaje wakienda hapo Hospital......RIP Mdingi wangu, ushauri wako umeniweka mahali salama siku zote katika maisha yangu.
Shukuru mola wewe sio ccm, ungefanana nao na ushauri wa mdingi wako wala usingepata muda wa kuufikiria na kuutarakari.
 
Chanzo cha ajali please! Dereva wake anaendeleaje? Maana lile gari alilopata nalo ajali, ni mali ya serikali.! Hivyo lina dereva wake maalum wa kumuendesha.
Uliza kwanza yafuatayo:
1. Alipokewaje hosptslini bila Pf3
2. Polisi yupi amepima hiyo ajali
3. Majeruhi wako wapi?
4. Kama majeruhi wapo ni akina nani, kama wamekufa wanazikwa wapi na lini
5. Kauli ya serikali/ jeshi la polisi imetolewa na nabi kuhusisna na hiyo ajali
6. Aliyefumaniwa anatiwa nini na wapi
7. Gari la walipa kodi liko wapi na lina hali gani?
8. Nafasi ya uwaziri iko wazi au bado ataendelea nayo.
9. Kesi ya kuharibu mali ya umma na kusababisha ajali uchunguzi umegikia wapi na atapelekwa lini mahakamani?
10. Namba ya hiyo gari iliyopata ajali ni namba gani?
11. Kama gari alilokuwa anaendesha ni lake binafsi alitokea wapi kwenda wapi ?
 
Nchi za wenzetu waliotuzidi maarifa huyo angeenda kutembelewa na stuff tuseme wa municipal mfano ya Kinondoni (tena wale aliokwisha fanya nao kazi) halafu huku nyuma raisi anabaki akiteuwa mtu mwengine anayehisiwa kuwa na maadili na mali za umma.

Ila kwa sababu ndiyo hivyo Africa hatuna utaratibu wa kuwajibika haya mambo yanaachwa yaendelee.
Kabisa !
 
Back
Top Bottom