Dodoma: Makamu wa Rais, Mpango amtembelea Festo Dugange Hospitali ya Benjamin Mkapa

Dodoma: Makamu wa Rais, Mpango amtembelea Festo Dugange Hospitali ya Benjamin Mkapa

JK alipotaka kuhamishia serikali yake kanda ya kati, wazee wakamuita na kumwambia. Tunawajua wasaidizi wako, ni watu ambao bado damu inachemka, kwa vyeo na posho posho hizi wanazopata, wanakuwa wamechangamka kweli! Wakifanya mambo yao hapa Bongo, ni jiji kubwa, hayataonekana. Ila ukiwapeleka kanda ya kati ka mji (kwa wakati ule) ambako hata mtu akipanda bajaji anakamaliza ndani ya nusu saaa, wataumbuka...
Mzee akasita kuhamishia shughuli kanda ya kati...
 
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Philip I. Mpango akizungumza na Naibu Waziri Ofisi ya Rais TAMISEMI, Dkt. Festo Dugange leo tarehe 29 Aprili 2023 wakati alipofika hospitali ya Rufaa ya Kanda ya Benjamin Mkapa kumjulia hali baada ya kupata ajali ya gari.

Dkt. Dugange alipata ajali usiku wa tarehe 26 Aprili 2023 wakati akiendesha gari yake binafsi Jijini Dodoma ambapo kwa sasa anaendelea kupatiwa matibabu katika Hospitali ya Rufaa ya Benjamini Mkapa.
IMG-20230429-WA0006.jpg
IMG-20230429-WA0005.jpg
 
Ati gari lake binafsi. Kwa hisani ya TBCCMView attachment 2603871
Mbona hawajaweka na namba za usajili wa hilo gari? Halafu tamko kama hilo si lilitakiwa kutolewa na jeshi la polisi? Mbona wako kimya!!

Na picha zilizowekwa humu jukwaani, za lile V8 lilogeuka juu chini, zimeeditiwa? Siyo la serikali kweli lile!!! Waache kutuchezea akili hawa wahuni.
 
Hili tukio limenifanya niwaze mbali sana, pia kunikumbusha kauli za marehemu mzee wangu, alikuwa akiniambia (jina) usiache kumhofia Mungu kwa vile huna uhakika kama yupo au hayupo, wewe mhofie ili usitende mambo ya hovyo kwa vile kutenda mambo ya hovyo kuna hasara siku zote, ni bora utende mema ili kama Mungu yupo uwe mahali salama, lakini pia kama hayupo utaepuka hizo hasara za kutenda mambo ya hovyo.....Nafikiria hasara/aibu/fedheha na dhambi alizopata huyu N/Waziri, na si ajabu akapoteza na kazi kama maadili yakifuatwa, Mkewe/Watoto/Familia wanamuonaje wakienda hapo Hospital......RIP Mdingi wangu, ushauri wako umeniweka mahali salama siku zote katika maisha yangu.
Huna hela..!! Ufukara umekutuliza
 
Huyu waziri angetakiwa avunjike kiuno aisee Sasa kaumia tu mkono. Inabidi Sasa atubu amrudie Mumba wake ki serious maana michaganyo bwana Yesu amekataa huyu umalaya huku ulevi ndio madhara yake
 
Nchi za wenzetu waliotuzidi maarifa huyo angeenda kutembelewa na staff tuseme wa municipal mfano ya Kinondoni (tena wale aliokwisha fanya nao kazi) halafu huku nyuma raisi anabaki akiteuwa mtu mwengine anayehisiwa kuwa na maadili na mali za umma.

Ila kwa sababu ndiyo hivyo Africa hatuna utaratibu wa kuwajibika haya mambo yanaachwa yaendelee.
Naona hata makamu wa Rais kwenda amejizalilisha kwahyo ana support uvunjifu wa maadili kabisa
 
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. Philip Mpango amemtembelea na kumjulia hali Naibu Waziri wa Ofisi ya Rais (TAMISEMI), Dk Festo Dugange ambaye amelazwa katika Hospitali ya Rufaa ya Kanda ya Benjamin Mkapa mjini Dodoma akipatiwa matibabu baada ya kupata ajali ya gari.

Habari toka vyanzo mbalimbali zinaeleza Dk Dugange alipata ajali hiyo usiku wa kuamkia Aprili 26, 2023. Hata hivyo, mpaka sasa si Jeshi la Polisi wala viongozi wa wizara yake waliokuwa tayari kuthibitisha kuhusua ajali ya kiongozi huyo.

Kwa mujibu wa picha ya inayomuonesha Makamu wa Rais akiwa hospitalini, Naibu Waziri huyo amevunjika mkono wa kulia.
View attachment 2603789
Hapo anamwambia...acha uzinzi bwana mdogo
 
Huyu waziri angetakiwa avunjike kiuno aisee Sasa kaumia tu mkono. Inabidi Sasa atubu amrudie Mumba wake ki serious maana michaganyo bwana Yesu amekataa huyu umalaya huku ulevi ndio madhara yake
Mungu ni mwema siku zote na huwanyeshea mvua wema na wabaya,ole wako wewe udhaniae umesimama

Mungu hapendezwi na kifo cha mtenda dhambi hata Siku moja!
 
Back
Top Bottom