Bemendazole
JF-Expert Member
- Nov 14, 2020
- 2,649
- 6,680
JK alipotaka kuhamishia serikali yake kanda ya kati, wazee wakamuita na kumwambia. Tunawajua wasaidizi wako, ni watu ambao bado damu inachemka, kwa vyeo na posho posho hizi wanazopata, wanakuwa wamechangamka kweli! Wakifanya mambo yao hapa Bongo, ni jiji kubwa, hayataonekana. Ila ukiwapeleka kanda ya kati ka mji (kwa wakati ule) ambako hata mtu akipanda bajaji anakamaliza ndani ya nusu saaa, wataumbuka...
Mzee akasita kuhamishia shughuli kanda ya kati...
Mzee akasita kuhamishia shughuli kanda ya kati...