Bemendazole
JF-Expert Member
- Nov 14, 2020
- 2,649
- 6,680
Shukrani kwa masahihisho.stuff=staff
Ati gari lake binafsi. Kwa hisani ya TBCCMChanzo cha ajali please! Dereva wake anaendeleaje? Maana lile gari alilopata nalo ajali, ni mali ya serikali.! Hivyo lina dereva wake maalum wa kumuendesha.
Mbona hawajaweka na namba za usajili wa hilo gari? Halafu tamko kama hilo si lilitakiwa kutolewa na jeshi la polisi? Mbona wako kimya!!Ati gari lake binafsi. Kwa hisani ya TBCCMView attachment 2603871
Huna hela..!! Ufukara umekutulizaHili tukio limenifanya niwaze mbali sana, pia kunikumbusha kauli za marehemu mzee wangu, alikuwa akiniambia (jina) usiache kumhofia Mungu kwa vile huna uhakika kama yupo au hayupo, wewe mhofie ili usitende mambo ya hovyo kwa vile kutenda mambo ya hovyo kuna hasara siku zote, ni bora utende mema ili kama Mungu yupo uwe mahali salama, lakini pia kama hayupo utaepuka hizo hasara za kutenda mambo ya hovyo.....Nafikiria hasara/aibu/fedheha na dhambi alizopata huyu N/Waziri, na si ajabu akapoteza na kazi kama maadili yakifuatwa, Mkewe/Watoto/Familia wanamuonaje wakienda hapo Hospital......RIP Mdingi wangu, ushauri wako umeniweka mahali salama siku zote katika maisha yangu.
Tulia weweestuff=staff
Naona hata makamu wa Rais kwenda amejizalilisha kwahyo ana support uvunjifu wa maadili kabisaNchi za wenzetu waliotuzidi maarifa huyo angeenda kutembelewa na staff tuseme wa municipal mfano ya Kinondoni (tena wale aliokwisha fanya nao kazi) halafu huku nyuma raisi anabaki akiteuwa mtu mwengine anayehisiwa kuwa na maadili na mali za umma.
Ila kwa sababu ndiyo hivyo Africa hatuna utaratibu wa kuwajibika haya mambo yanaachwa yaendelee.
Hapo anamwambia...acha uzinzi bwana mdogoMakamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. Philip Mpango amemtembelea na kumjulia hali Naibu Waziri wa Ofisi ya Rais (TAMISEMI), Dk Festo Dugange ambaye amelazwa katika Hospitali ya Rufaa ya Kanda ya Benjamin Mkapa mjini Dodoma akipatiwa matibabu baada ya kupata ajali ya gari.
Habari toka vyanzo mbalimbali zinaeleza Dk Dugange alipata ajali hiyo usiku wa kuamkia Aprili 26, 2023. Hata hivyo, mpaka sasa si Jeshi la Polisi wala viongozi wa wizara yake waliokuwa tayari kuthibitisha kuhusua ajali ya kiongozi huyo.
Kwa mujibu wa picha ya inayomuonesha Makamu wa Rais akiwa hospitalini, Naibu Waziri huyo amevunjika mkono wa kulia.
View attachment 2603789
Wote wanafananaNaona hata makamu wa Rais kwenda amejizalilisha kwahyo ana support uvunjifu wa maadili kabisa
Written offVieite yetu inaendeleaje?
Malizia hivi...get well soon mzinziGet well soon!.
P
Mungu ni mwema siku zote na huwanyeshea mvua wema na wabaya,ole wako wewe udhaniae umesimamaHuyu waziri angetakiwa avunjike kiuno aisee Sasa kaumia tu mkono. Inabidi Sasa atubu amrudie Mumba wake ki serious maana michaganyo bwana Yesu amekataa huyu umalaya huku ulevi ndio madhara yake
@USSRNimeinyooshea mikono jf!
Kuna watu wa za ndani kabisa humu mana hii ajali kama sio kuletwa hapa sidhani kama ingesikika sehemu!
Mtoa ripoti ametisha sana,
Ni aibu kweli yaniWote wanafanana
Acheni kumtaja Mungu kwenye uchafu aisee ka huuMungu ni mwema siku zote na huwanyeshea mvua wema na wabaya,ole wako wewe udhaniae umesimama
Mungu hapendezwi na kifo cha mtenda dhambi hata Siku moja!