Ukifuatilia haya kwa kina utagundua unelishwa tango pori hakuna waziri ama mkurugenzi anayejiendesha yeye mwenyewe. Na mhe hajapata ajali na gari la serikali jaribuni kusoma taarifa vizuriChanzo cha ajali please! Dereva wake anaendeleaje? Maana lile gari alilopata nalo ajali, ni mali ya serikali.! Hivyo lina dereva wake maalum wa kumuendesha.
Mkuu,ni hatari sana ukikutwa na mke wa mtu ukiwa unachepuka nae,yule aliyekukuta,akikujeruhi kwa kitu chenye ncha kali au kwa silaha yoyote,maramoja,mfano kakuchoma kisu,hafungwi,badala yake kama ni mtumishi wa umma,atahamisha eneo hilo.... na wala sio kosa kisheria kwa mujibu wa sheria za Tanzania kuchepuka na mke wa mtu as long as mmekubaliana. Tena mumewe akiwakuta kuna taratibu za kufuata na sio kuleta fujo au kuumiza watu!
Mbaya zaidi ni pale atatoka hospital akiwa na hogo (POP) huku akikodisha gari nyengine ya kumpeleka ofisini na kumrudisha nyumbani akienda kusimamia watu ambao pengine ni smart kuliko yeye kwa gharama za kodi za wananchi kwa sababu gari ya kiwaziri V8 inayo-cost approximately Tsh 200Mill aliyopewa alipata nayo ajali akiwa kwenye shughuli zake binafsi.Naona hata makamu wa Rais kwenda amejizalilisha kwahyo ana support uvunjifu wa maadili kabisa
Umesema ukweli kabisa.Mbaya zaidi ni pale atatoka hospital akiwa na hogo (POP) huku akikodisha gari nyengine ya kumpeleka ofisini na kumrudisha nyumbani akienda kusimamia watu ambao pengine ni smart kuliko yeye kwa gharama za kodi za wananchi kwa sababu gari ya kiwaziri V8 inayo-cost approximately Tsh 200Mill aliyopewa alipata nayo ajali akiwa kwenye shughuli zake binafsi.
Wala tusiseme uzinzi hiyo tu kuangusha gari ya serikali muda usiokuwa wa kazi alitakiwa mwenyewe akitoka hapo aende nyumbani kichwani mawazo ya uwaziri akiwa hana ila mfumo wetu wa hovyo unatusababishia hasara ya kuongozwa na wapumbavu kama hawa.
NB;pamoja na mapungufu anayosemwa Magufuli kuwa nayo but inapofika hatua kuona mambo kama haya yakitokea huwa namkumbuka sana.
Ukisikia CCM tuna viongozi wa Kila aina, hiyo ndiyo maana yakeMakamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. Philip Mpango amemtembelea na kumjulia hali Naibu Waziri wa Ofisi ya Rais (TAMISEMI), Dk Festo Dugange ambaye amelazwa katika Hospitali ya Rufaa ya Kanda ya Benjamin Mkapa mjini Dodoma akipatiwa matibabu baada ya kupata ajali ya gari.
Habari toka vyanzo mbalimbali zinaeleza Dk Dugange alipata ajali hiyo usiku wa kuamkia Aprili 26, 2023. Hata hivyo, mpaka sasa si Jeshi la Polisi wala viongozi wa wizara yake waliokuwa tayari kuthibitisha kuhusua ajali ya kiongozi huyo.
Kwa mujibu wa picha ya inayomuonesha Makamu wa Rais akiwa hospitalini, Naibu Waziri huyo amevunjika mkono wa kulia.
View attachment 2603789
Duh, ukiwa ndani ya hospitali ya walalahoi unaweza kujikuta unaumwa zaidi ya kupona.
Shangazi shkamoo πππMungu aliamua amuanike
Mungu mwenyewe anasema hakuja kwa ajili yenu ninyi wenye haki Bali alikuja kwa ajili ya watenda dhambi,kwahiyo Dada kaa kwa kutulia kabisa,kama wewe ni mwema Mungu hakuhusuAcheni kumtaja Mungu kwenye uchafu aisee ka huu
Marahaba aunt yangu, za wapi huko?Shangazi shkamoo πππ
Acha uongo, taarifa ililetwa hapa pamoja na picha ya gari. Bila jamii forum hii taarifa ingezimwa.Ukifuatilia haya kwa kina utagundua unelishwa tango pori hakuna waziri ama mkurugenzi anayejiendesha yeye mwenyewe. Na mhe hajapata ajali na gari la serikali jaribuni kusoma taarifa vizuri
Wala sio huyu waziri mdogo tu, kwa ujumla viongozi wengi wanaotuongoza ngazi zote ni akili ndogo...sema maneno miingi na ni kwakuwa wamewezeshwa na katiba mbovu.Umesema ukweli kabisa.
Huyu MTU anaongoza watu SMART kuliko yeye.
Hutakiwi kuua, kujeruhi, kulawiti, nk mgoni wako Chief! Ni kinyume cha sheria. Unachotakiwa kufanya ni kushtaki ili sheria stahiki ichukue mkondo wake.Mkuu,ni hatari sana ukikutwa na mke wa mtu ukiwa unachepuka nae,yule aliyekukuta,akikujeruhi kwa kitu chenye ncha kali au kwa silaha yoyote,maramoja,mfano kakuchoma kisu,hafungwi,badala yake kama ni mtumishi wa umma,atahamisha eneo hilo.
Eeh, sio aunt yangu sema mdogo angu wa kiume πππ,, nzuri lakini uwe na jpili njema shangazi ππ nipo good huku mikocheniMarahaba aunt yangu, za wapi huko?
Nitofautishie hapo ipi ni ya serikali na ipi ni yake binafsiAcha uongo, taarifa ililetwa hapa pamoja na picha ya gari. Bila jamii forum hii taarifa ingezimwa.
Tumechezewa Sana Tanzania Ndiyo Tumeseje Waelewa Hawa WatuMbaya zaidi ni pale atatoka hospital akiwa na hogo (POP) huku akikodisha gari nyengine ya kumpeleka ofisini na kumrudisha nyumbani akienda kusimamia watu ambao pengine ni smart kuliko yeye kwa gharama za kodi za wananchi kwa sababu gari ya kiwaziri V8 inayo-cost approximately Tsh 200Mill aliyopewa alipata nayo ajali akiwa kwenye shughuli zake binafsi.
Wala tusiseme uzinzi hiyo tu kuangusha gari ya serikali muda usiokuwa wa kazi alitakiwa mwenyewe akitoka hapo aende nyumbani kichwani mawazo ya uwaziri akiwa hana ila mfumo wetu wa hovyo unatusababishia hasara ya kuongozwa na wapumbavu kama hawa.
NB;pamoja na mapungufu anayosemwa Magufuli kuwa nayo but inapofika hatua kuona mambo kama haya yakitokea huwa namkumbuka sana.