Dodoma: Makarani wasusia sensa wakidai kutolipwa fedha zao

Bora liende, Kenya waliona haya wakachagua Ruto
 
mbaya zaidi nafasi yenyewe umeipata kwa rushwa harafu hata hela yako haijarudi.
 
kwa hali hi kupata takwimu sahihi sijuwi.
 
Madelu amepiga dili la barabara ya Uvinza to Malagarasi @ kilometa 1 = Bil 11 na tenda haikutangazwa popote hili lipo wazi kabisa
 
Kuna wilaya pia huku morogoro paka sasa makarani hawajalamba pesa ya kazi wala ya kumaliziwa semina
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…