Dodoma: Mapokezi ya Alhad Musa Salum yazua Taharuki, Waislam Wamwandikia barua Mufti

Usibishe kitu usichokijuwa, video zipo kwenye page ya Maulid Kitenge Facebook, nenda kule halafu uje kubisha vizuri.
 
Kwani nje ya cheo alichokua nacho hana hadhi yake binafsi ? Amepokelewa kama Musa Salum hajapokelewa kama Sheikh wa mkoa hizi complications nyingine hazina umuhimu sana. Mtu amekabidhi ofisi mnataka aishi kinyonge ?
Polisi wanahusika vipi kwenye Mapokezi ya mtu binafsi?Tumia akili hata za kuazima
 
Wakuu hakuna mtu amenyumwa escort ya police ni pesa yako tu unaenda jeshi la polisi unalipia unapata pikipiki ya kuongoza msafara wako,kwa shekhe tuhoji wale waliompokea nani amewapanga au na wenyewe wanalipwa ili kuonyesha anapendwa?
 
Aliyekuwa Shehe wa Mkoa wa Dar es Salaam , Alhad Musa Salum ni Mtu muhimu wa Serikali aka Usalama wa Taifa huyo. Alikuwa anafanya kazi zaidi 2 kazi ya bakwata na kazi ya Serikali
 
Usibishe kitu usichokijuwa, video zipo kwenye page ya Maulid Kitenge Facebook, nenda kule halafu uje kubisha vizuri.
Kwa maulid kitenge mimi nikafanye nini,,, habari nimeiona hapa kwa hiyo huyu mleta uzi ye ndo aambatanishe na picha,, la sivyo ni umbeya,, alafu sie wengine hiyo Facebook kuitumia nimesahau lini mara ya mwisho kuingia japokuwa ninayo account.
 
MAAMUMA ni mfuasi au muongozwaji
Yani waislamu tukiwa msikiti Imamu ndo anakua kiongozi mkuu ambae anaendesha swala na walobakia ambao wapo nyuma yake wote wanaitwa Maamuma

Nadhani utakua ushanielewa mpka hapo
 
(Maamuma) HADHIRA /MFUATISHAJI Waweza Kuwa Na Elimu Ila Ukawa Msimuliwaji Na Msikilizaji Japo Weng Wanatafsir Kama Ni Mtu Ambaye Huna Elimu Yoyote
 
Kwa maulid kitenge mimi nikafanye nini,,, habari nimeiona hapa kwa hiyo huyu mleta uzi ye ndo aambatanishe na picha,, la sivyo ni umbeya,, alafu sie wengine hiyo Facebook kuitumia nimesahau lini mara ya mwisho kuingia japokuwa ninayo account.
Hata kama ni umbeya utanifanyia Nini kima wewe?
 
Shekhe mkuu aongee na dada mkuu huenda katoa ruhusa.
 
hii tabia inaletwa na unafq wa serikali masheikh watu hawa uwezo wa kuishi maisha haya wnayo hishi sababu maisha yao na vipato viao walikotoka tunapafahamu bora ije katiba mpiya na tume hulu ya uchaguzi kila mtawala ipate utawala kwa haki na viongozi wadini wale jasho lao
 
ccm kwa fitina hatari si ajabu wanamuandaa awe mkuu wa bakwata faifa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…