Dodoma: Mapokezi ya Alhad Musa Salum yazua Taharuki, Waislam Wamwandikia barua Mufti

Focus kwenye siasa chuki zako binafsi za kidini acha,,,
Sijui kama umeelewa kilicholetwa hapa , yaani mimi nimeripoti tu yaliyoandikwa na Waislam, sasa labda useme siruhusiwi kuripoti masuala ya Waislam .

Lakini wewe ni nani wa kunipangia vya kuripoti humu ?
 
Sijui kama umeelewa kilicholetwa hapa , yaani mimi nimeripoti tu yaliyoandikwa na Waislam, sasa labda useme siruhusiwi kuripoti masuala ya Waislam .

Lakini wewe ni nani wa kunipangia vya kuripoti humu ?
Sijakupinga,, ila ripoti yako imekaa kiunafiki na wewe pia ni mnafiki,, kwani uislam na waislam wamekukosea nini wewe mwana chadema?? Na chadema wenzio kwa ujumla?
 
Hivi Kuna mufty yoyote aliyewahi kupata mapokezi Kama haya mahali popote hata kijijini kwake.?
Sheikh Mussa is a force to reckon with.
Mtamsema Sana lkn jamaa ana followers wengi Sana.
 
Huwezi jua labda mwenzao.
 
Kumbe ulidhamiria tu kunishambulia bila sababu , sasa nimeelewa , lakini sasa umechagua kunishambulia sehemu isiyo sahihi
Huna lolote mnafiki mkubwa wewe sio mara moja naona post zako una chuki dhidi ya uislam na waislam sijui hata wamekufanya nini,, eti taharuki, taharuki gani hiyo kama sio unafiki
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…