[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ndio maana nilikuwa nakwambia wewe huijui Mwanza, ukija Tena mtafute mtu anaeujua huu mji vizuri akutembeze utasgangaaKwa hizo picha za mwanza na arusha??
Mwanza phobia itakuua
Mwanza napakubali kama mji mdogo lakini hadhi ya kuwa jiji bado sana.Huyu jamaa inamkosesha raha Mwz 😁, angelipewa uwezo wa kumiliki nuclear bomb angeanza na kanda ya ziwa
Naona unaokoteza picha hapa na pale kwa msaada wa photo editor.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ndio maana nilikuwa nakwambia wewe huijui Mwanza, ukija Tena mtafute mtu anaeujua huu mji vizuri akutembeze utasgangaa
By the way ngoja nikuongeze kidogo na hiziView attachment 2356994View attachment 2356996View attachment 2356997
Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
Hii hata ukitokea Vijijini, ukifika Dar lazima uhisi uzito wa hewa.Kuna mswahili alienda USA halafu alivyorudi Dar. Akasema anasikia kama Dar ina harufu fulani mbaya anaisikia kila anakopita 🤣🤣🤣
Kwamba ulitegemea kukuta Nini na wewe ukakuta Nini?Naona unaokoteza picha hapa na pale kwa msaada wa photo editor.
Nilipoambiwa capripoint ndio kama masaki kwa dar nikasema ngoja niende kupaona.. lahaula nilishangaa sana maana hapana tofauti na msewe kwa hapa dar.
Wew umefika capripoint sehemu Gani wew.. Zaid ya kusimuliwa tu ..na mwanza yenyewe unaiona kwenye mechi za mipira kupitia tvNaona unaokoteza picha hapa na pale kwa msaada wa photo editor.
Nilipoambiwa capripoint ndio kama masaki kwa dar nikasema ngoja niende kupaona.. lahaula nilishangaa sana maana hapana tofauti na msewe kwa hapa dar.
Kama magomeni hadi posta km 3 tuMabatini hadi katikati ya mji pale nyamagana hata km 2 hazifiki. Yaani mwanza ni mji wa mabanda.
Acheni kufikia vingunguti machinjioni.Hii hata ukitokea Vijijini, ukifika Dar lazima uhisi uzito wa hewa.
Wengine lazima washikwe mafua.
Mwanza napakubali kama mji mdogo lakini hadhi ya kuwa jiji bado sana.
Nilidhani nitaona sehemu classic kumbe maeneo ya kawaida sana.Kwamba ulitegemea kukuta Nini na wewe ukakuta Nini?
Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
Mwanza nimefanya kazi pale TPA.Wew umefika capripoint sehemu Gani wew.. Zaid ya kusimuliwa tu ..na mwanza yenyewe unaiona kwenye mechi za mipira kupitia tv
Magomeni ya sasa sio ya mwaka 47.Kama magomeni hadi posta km 3 tu
[emoji16][emoji16][emoji28][emoji28]sema wew unafurahisha ,I like the sense of humor kwenye argument zako kiufupi una hoja zisizo na mashiko na nyepesi sna.Nilidhani nitaona sehemu classic kumbe maeneo ya kawaida sana.
TPA Iko mtaa ganMwanza nimefanya kazi pale TPA.
Wewe haujafurahi?Hapana sio mji mdogo ni kijiji kabisa, haya furahi sasa 😁
Kwamba unadhani ni uongo?? Nilikuwa napita pale polisi nakatiza hivi pamejaa mama ntilie kibao. Kwa nyuma ndio TPA pale pia ile meli ya bukoba inapakia.TPA Iko mtaa gan
Assumption.. ukiwa hapo capripoint Iko maeneo ganiKwamba unadhani ni uongo?? Nilikuwa napita pale polisi nakatiza hivi pamejaa mama ntilie kibao. Kwa nyuma ndio TPA pale pia ile meli ya bukoba inapakia.
Nilikuwa naenda maeneo ya nyakato kule coca-cola ipo basi njiani naona mifugo imesambaa sana na kunanuka.[emoji16][emoji16][emoji28][emoji28]sema wew unafurahisha ,I like the sense of humor kwenye argument zako kiufupi una hoja zisizo na mashiko na nyepesi sna.