bronze
JF-Expert Member
- May 24, 2020
- 430
- 803
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ndio maana nilikuwa nakwambia wewe huijui Mwanza, ukija Tena mtafute mtu anaeujua huu mji vizuri akutembeze utasgangaaKwa hizo picha za mwanza na arusha??
By the way ngoja nikuongeze kidogo na hizi
Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app