Kingfish23
JF-Expert Member
- Aug 22, 2022
- 490
- 485
Uzuri wenyewe leo Mwanza ,Arusha,Dom na Mbeya wemeungana dhidi ya Dar.Hatukatai Dar ndio mji wa mkuu wa kiashara TZ je maisha ya wakazi wao yanaakisi ukubwa wa Jiji?.Magomeni ya sasa sio ya mwaka 47.
Capripoint unakuwa unaiona kwa mbali kama opposite fulani hivi.Assumption.. ukiwa hapo capripoint Iko maeneo gani
We umekaa mwaka miaka ya 90 nnNilikuwa naenda maeneo ya nyakato kule coca-cola ipo basi njiani naona mifugo imesambaa sana na kunanuka.
Ila mkuu championship kwa nilivyokusoma unawadharau Sana watu wanaoishi nje ya dar, imagine wote tungejirundika huko ingekuwaje
Mkuu niwie radhi kama umeona nimedharau watu wa mwanza. Hapa tunaongea na kupeana uhalisia tu.Ila mkuu championship kwa nilivyokusoma unawadharau Sana watu wanaoishi nje ya dar, imagine wote tungejirundika huko ingekuwaje
Jitahidi ufike bas now ,,, ujionee palivyo [emoji116]Capripoint unakuwa unaiona kwa mbali kama opposite fulani hivi.
Kwenye fursa ni kweli zinapatikana hata mikoani na kuna watu wengi wanaishi maisha mazuri huko kuliko dar.Uzuri wenyewe leo Mwanza ,Arusha,Dom na Mbeya wemeungana dhidi ya Dar.Hatukatai Dar ndio mji wa mkuu wa kiashara TZ je maisha ya wakazi wao yanaakisi ukubwa wa Jiji?.
Nimekulia Dar ila hata Mikoani kuna fursa na watu wanaishi vizuri kuliko Dar.Tusubiri majibu ya Taarifa ya Sensa kuna vitu tutajifunza tu.
Nilikuwa huko juzijuzi hivi pale mahakama kuu.We umekaa mwaka miaka ya 90 nn
Hizi picha ni za kuwekewa effects sio uhalisia.Jitahidi ufike bas now ,,, ujionee palivyo [emoji116]
Capripoint now[emoji91][emoji91]View attachment 2357067View attachment 2357068
Aya sawa ..tumekubali . Mwanza pabaya[emoji2959]Hizi picha ni za kuwekewa effects sio uhalisia.
Tofauti yetu na nchi jirani sisi ndio tunajiharibia badala ya kujijenga kama Watanzania tunaanza kujitenga, watu wa Dar wanatakiwa kutengeneza link na mikoani ili kutumia fursa zilizopo huku na kufanya market strategies zilipo huku.Kwenye fursa ni kweli zinapatikana hata mikoani na kuna watu wengi wanaishi maisha mazuri huko kuliko dar.
Wewe mwenyewe wa hovyo huna sifa za kuishi Jiji la Mwanza. We kaa huko huko uswekeni Sumbwanga na NjombeSiwezi ones wivu wa kimji cha hovyo kama Mwanza.
Chuki binafsi ππ..Siwezi ishi Mwanza Kwa hovyo hata siku moja..Wewe mwenyewe wa hovyo huna sifa za kuishi Jiji la Mwanza. We kaa huko huko uswekeni Sumbwanga na Njombe
Uzuri ni kwamba nimekuthibitishia kwamba mwanza naijua vizuri tu.Aya sawa ..tumekubali . Mwanza pabaya[emoji2959]
Dar huko ni hovyo siwezi ishi huko hata siku moja..Uzuri wenyewe leo Mwanza ,Arusha,Dom na Mbeya wemeungana dhidi ya Dar.Hatukatai Dar ndio mji wa mkuu wa kiashara TZ je maisha ya wakazi wao yanaakisi ukubwa wa Jiji?.
Nimekulia Dar ila hata Mikoani kuna fursa na watu wanaishi vizuri kuliko Dar.Tusubiri majibu ya Taarifa ya Sensa kuna vitu tutajifunza tu.
Huko ndiko kunakufaa wewe siyo anga za rocky city.Chuki binafsi [emoji12][emoji12]..Siwezi ishi Mwanza Kwa hovyo hata siku moja..
Sumbawanga ni kutamu Wala hakuna shombo na mauchafu kama huko Mwanza..
Maeneo yangu ya Kujidai ni Sumbawanga,Mbeya na Njombe ila hapo baadae am planning kuweka makazi Dodoma and Arusha pia..
ππππ Mwanza πHuko ndiko kunakufaa wewe siyo anga za rocky city.
HuijuiUzuri ni kwamba nimekuthibitishia kwamba mwanza naijua vizuri tu.
Wewe haujafurahi?
Kwa mshahara wako wa 810,000 hutowezaChuki binafsi [emoji12][emoji12]..Siwezi ishi Mwanza Kwa hovyo hata siku moja..
Sumbawanga ni kutamu Wala hakuna shombo na mauchafu kama huko Mwanza..
Maeneo yangu ya Kujidai ni Sumbawanga,Mbeya na Njombe ila hapo baadae am planning kuweka makazi Dodoma and Arusha pia..
ππ Salary imepanda sio hiyo tena,afu tunaishi kwa posho ukijumlisha hapo napata 1,200,000 monthly naweza ishi hadi Luanda Angola sembuse huko Mwanza kwenye apartment zenu hizi hapa π?