Ndengaso
JF-Expert Member
- Jul 18, 2014
- 7,831
- 14,259
Another abdul nondo in making, serikali huwa inajipa shida yenyewe kuwapa airtime watu ambao badae wanakuja kuwapa shida...Shida ya maji inajulikana ipo nchi nzima, wenzetu nchi tajiri wanampaka backup water supply systems sasa unamkamataje mtu kwakuonyesha kweli tunashida ya maji...Tupambane na umaskini kwanza..