Anataka kutudharaulisha tuonekane hatufanyi kazi...Another abdul nondo in making, serikali huwa inajipa shida yenyewe kuwapa airtime watu ambao badae wanakuja kuwapa shida...Shida ya maji inajulikana ipo nchi nzima, wenzetu nchi tajiri wanampaka backup water supply systems sasa unamkamataje mtu kwakuonyesha kweli tunashida ya maji...Tupambane na umaskini kwanza..
Bila Shaka na ww utakua ni police , akili zenu zinafanana"Mzazi wako, alilewa mpaka akajikojolea"
Wewe mtoto unatangaza kwa majirani! Unapata faida Gani? Badala ya kuwajurisha babu na bibi yako, wewe unawaambia majirani?
Sasa anaonesha shida ya maji kwa dunia nzima anategemea dunia itakuja kutatua hii shida,?kwanini hakutuma hizo picha wizarani, kwa mbunge au waziri?
Sent using Jamii Forums mobile app
Dunia nzima ipi hiyo unayoizungumzia? Unauhakika hizo picha wizarani au waziri atakuwa bado hajaziona"Mzazi wako, alilewa mpaka akajikojolea"
Wewe mtoto unatangaza kwa majirani! Unapata faida Gani? Badala ya kuwajurisha babu na bibi yako, wewe unawaambia majirani?
Sasa anaonesha shida ya maji kwa dunia nzima anategemea dunia itakuja kutatua hii shida,?kwanini hakutuma hizo picha wizarani, kwa mbunge au waziri?
Sent using Jamii Forums mobile app
Hata wewe hujui hiyo picha ilitakiwa atumiwe nani kati ya wizara,mbunge au waziri halafu unauliza kwamba dunia inawezaje kutatua....Wahi hospital kiongozi tena mloganzila hapo"Mzazi wako, alilewa mpaka akajikojolea"
Wewe mtoto unatangaza kwa majirani! Unapata faida Gani? Badala ya kuwajurisha babu na bibi yako, wewe unawaambia majirani?
Sasa anaonesha shida ya maji kwa dunia nzima anategemea dunia itakuja kutatua hii shida,?kwanini hakutuma hizo picha wizarani, kwa mbunge au waziri?
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa kosa lipi sasa? Wanakwenda kumfungulia charge gani. Kwamba amepiga picha ya uzushi na kukidhalilisha chuo? au kwamba sijui nini?Mwanafunzi wa Chuo Kikuu cha Dodoma Tungu Mgaya, anashikiliwa na Jeshi la Polisi Mkoani Dodoma tangu jana kwa kutuhuma za kupiga na kusambaza picha inayoonesha shida ya maji chuoni hapo.
View attachment 1330742
Mwanafunzi wa Chuo Kikuu cha Dodoma Tungu Mgaya, anashikiliwa na Jeshi la Polisi Mkoani Dodoma tangu jana kwa kutuhuma za kupiga na kusambaza picha inayoonesha shida ya maji chuoni hapo.
View attachment 1330742
Wanamuonea. Kwani ni uongo hiyo shida haipo ? Halafu UDOM walitoa gawio eti. Huku hata visima vya maji tu hawawezi chimba.
MchocheziWanamshikilia kosa lipi sasa? Kwani yeye ndiye kasababisha ukosefu wa maji au amearibu miundo mbinu ya maji?
Hilo la kusambaza hizo picha kama kweli tatizo lipo, basi wamshukuru kwa kutoa taarifa kwa umma.
Hapo watamtafutia makosa mengine lakini hilo wanalolihita kosa la kusema ukweli halina mashiko kambisa
Wanamuonea. Kwani ni uongo hiyo shida haipo ? Halafu UDOM walitoa gawio eti. Huku hata visima vya maji tu hawawezi chimba.
Havina uhusiano"Mzazi wako, alilewa mpaka akajikojolea"
Wewe mtoto unatangaza kwa majirani! Unapata faida Gani? Badala ya kuwajurisha babu na bibi yako, wewe unawaambia majirani?
Sasa anaonesha shida ya maji kwa dunia nzima anategemea dunia itakuja kutatua hii shida,?kwanini hakutuma hizo picha wizarani, kwa mbunge au waziri?
Sent using Jamii Forums mobile app