"Mzazi wako, alilewa mpaka akajikojolea"
Wewe mtoto unatangaza kwa majirani! Unapata faida Gani? Badala ya kuwajurisha babu na bibi yako, wewe unawaambia majirani?
Sasa anaonesha shida ya maji kwa dunia nzima anategemea dunia itakuja kutatua hii shida,?kwanini hakutuma hizo picha wizarani, kwa mbunge au waziri?
Sent using Jamii Forums mobile app
Wanamuonea. Kwani ni uongo hiyo shida haipo ? Halafu UDOM walitoa gawio eti. Huku hata visima vya maji tu hawawezi chimba.
Freedom of speech. Mwaga madini bwana.Ngoja nisitoe maoni yangu juu ya hili; nitamuongezea Max kesi nyingine otherwise.
Kama ndivyo na yule mwewe wa clouds tv nae yupo karibu kushikwa!!Nchi inashida hii badala ya kumpongeza na kushughulika na tatizo eti anawekwa selo, Kwel?
"Mzazi wako, alilewa mpaka akajikojolea"
Wewe mtoto unatangaza kwa majirani! Unapata faida Gani? Badala ya kuwajurisha babu na bibi yako, wewe unawaambia majirani?
Sasa anaonesha shida ya maji kwa dunia nzima anategemea dunia itakuja kutatua hii shida,?kwanini hakutuma hizo picha wizarani, kwa mbunge au waziri?
Sent using Jamii Forums mobile app
Hii ndio ilikuwanjia ya kufikisha taarifa kwa haraka!!"Mzazi wako, alilewa mpaka akajikojolea"
Wewe mtoto unatangaza kwa majirani! Unapata faida Gani? Badala ya kuwajurisha babu na bibi yako, wewe unawaambia majirani?
Sasa anaonesha shida ya maji kwa dunia nzima anategemea dunia itakuja kutatua hii shida,?kwanini hakutuma hizo picha wizarani, kwa mbunge au waziri?
Sent using Jamii Forums mobile app
Za Abdul Nondoyale-yale ya picha za expansion joint
Abdul Nondo muokoe mwezako.Mwanafunzi wa Chuo Kikuu cha Dodoma Tungu Mgaya, anashikiliwa na Jeshi la Polisi Mkoani Dodoma tangu jana kwa kutuhuma za kupiga na kusambaza picha inayoonesha shida ya maji chuoni hapo.
View attachment 1330742
Abdul Nondo na yule wa dogo wa expansion joint huwa ni watu wawili tofauti ila wanafananishwa sana.