Dodoma: Mwanafunzi ashikiliwa na Jeshi la Polisi baada ya kupiga na kutuma picha za ukosefu wa maji Chuo Kikuu Dodoma

Duuh!!
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hivi yule waziri wetu aliupata wapi ujasiri wa kuzungumzia maswala ya vyoo vilijengwa na serikali ya awamu ya tano wakati huku kwetu nyumbani kuzungumzia shida ya maji imemweka mwanafunzi lockup?
 
Nimesikia Polisi wamemkamata dogo aliepiga hii picha , ana kosa gani ? Hii nchi ya kifala sana tumekuja kugeuzwa wapuuzi wote. Polisi mna mambo mengi ya kufanya ya maana kuliko hili acheni UPUMBAVU
 

Unajua watu wasipojua maana ya maneno, basi maana ya neno uchochezi itatumika vibaya.

Huyo anapaswa aponezwe kwa kusema ukweli.
Serikali uchunguze na ikibainika kuwa alipiga picha ambazo si za kweli kuhusu hali ilivyo, basi achukuliwe hatua.,
Lakini ikibainika kuwa hizo picha ni za kweli, basi wanaopaswa kubeba huomzigo ni viongozi waliopewa mamlaka na nafasi za kusimamia hicho chuo.

Ila hapo naona watasema wamemuaibisha mkapa na kiongozi wa nchi kwani juzi tu hicho chuo kilipa zawadi.


Biblia inasema hivi --"Je! Nimekuwa adui wenu kwa sababu nawaambia yaliyo kweli?" GAL. 4:16
 
Tupo mbali sana...

Hamna baya hapo...kipindupindu kiwapate wao .... ..wakae kimya?
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hii ndio ilikuwanjia ya kufikisha taarifa kwa haraka!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…