mbongopopo
JF-Expert Member
- Jan 24, 2008
- 1,611
- 760
Hapo utakuta polisi wamehongwa pesa na viongozi wa hapo chini. Shame, RC wao yupo anakaa kimya hadi muda hii, shameful action.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Katakatisha badno
SureHiyo picha alituma kigogo2014 twitter.
Nadhani kukamatwa kwa huyo denti ni katika hatua za kumtafuta kigogo2014
Sent using Jamii Forums mobile app
Kama sura yakeYule mama sijui kama ni mbongo kwa kweli, haiwesekani awe na roho mbaya vile
Unategemea nini toka jeshi lililokuwa likiongozwa na Kangi Lugola🙂
serikali ya wanyonge hii.
UKWELI unapozimwa huwa NI shida Sana. UDOM maji NI shida Kuna siku yanatoka na Kuna siku hayatoki uongozi ukiambiwa juu ya hili wanakuja juu. Nimekaa hapo kwa miaka miwili mabweni yenyewe mvua ikinyesha yana vujaWanamuonea. Kwani ni uongo hiyo shida haipo ? Halafu UDOM walitoa gawio eti. Huku hata visima vya maji tu hawawezi chimba.
Chuo Kama ChakavuUKWELI unapozimwa huwa NI shida Sana. UDOM maji NI shida Kuna siku yanatoka na Kuna siku hayatoki uongozi ukiambiwa juu ya hili wanakuja juu. Nimekaa hapo kwa miaka miwili mabweni yenyewe mvua ikinyesha yana vuja