Dodoma: Mwenyekiti wa CHADEMA Freeman Mbowe avamiwa, apigwa na kujeruhiwa na watu wasiojulikana

Saa sita usiku mbowe alikua anatoka wapi na Kwanini alisimamisha gar? Mkitupa majibu ya haya maswali Basi tutaelewa Gendelichuma18,
 
Hiyo issue ya mbowe hata kama haihusiani na siasa ni lazima kwa MTU yoyote atahusisha na mlengo wa kisiasa kutokana na hali ya siasa dhidi ya upinzani toka aingie Baba jesca.
 
Nisamehe ndugu kwa kukuchanganya. Nilipoandika hayo nilikua na maana ila nna uhakika na baadhi taarifa ulizoandika na kinadharia inaezekana ila kuna maoni yako umeyatoa hapo ndo siko nawe kwani nami nna yangu.
 
Mmefanya haya ili kuzima mjadala wa tundu lissu, stupid idea!
 
Kwa mimi nilishaondoa credibility na vyombo vya dola katika kushugulikia mambo yanayohusu wapinzani! Kuna mlolongo mrefu sana wa matukio yanayowahusu wapinzani kuumizwa na hata kuuawa kama ilivyotokea kwa mdogoake Heche.

Tundu Lissu, Mawazo na sasa Mbowe, na wengine, lakini ukifuatilia namna vyombo vya dola vinavyoshughulikia hayo mambo, ni utata mtupu! ....

Huyo kamanda anasema kapata taarifa, means hajafika wodini, anapata wapi uhakika kuwa majeruhi anaendelea vizuri? Kupigwa hadi kuvunjwa mguu sio jambo dogo na wala si kitu cha kuongelea kwa mzaha, labda tu kama kuna mtu unataka kumfurahisha kwa kauli hiyo!....Anyway ipo siku haya yote yatakomeshwa!
 
Mkuu nawe tumia akili hata kama ana mlinzi, wakitokea hao vibaka 10 Huyo mlinzi 1 atafanya nini? Kuhusu swala la muda nayo ni hoja dhaifu.
Inasemekana ni mtu 3 tuu imemburuza ina maana alikuwa peke yake?na kama alikuwa peke yake mda huo bado kuna wasiwasi na kama alichelewa kurudi kazini lazma mlinzi alikuwepo.mbona sijasikia lolote kuhusu mlinzi.
 
Magufuli hapo ana husika nini
 
Dodoma kama ilivyo Dsm pana matukio mengi ya kihalifu nyakati za usiku na hasa kuanzia saa 5.

Nakumbuka hata mbunge Moses Machali wa Nccr mageuzi wakati huo aliwahi kuchapwa chapwa bakora na majambazi wakati akirejea nyumbani kwake usiku mzito baada ya kazi ngumu ya kulijenga taifa.

Ni tukio la Tundu Lisu pekee ndio litabakia kuwa historia kwa sababu lilifanyika saa 7 mchana wakati akitokea bungeni siyo Night club.

Maendeleo hayana vyama!
 
Facts-: 1)wasiojulikana ni usalama wa taifa.(by Malima-RC Mara)
2)Inafahamika usalama wa taifa wanariport kwa rais
3). Hakuna uchunguzi utakao fanyika.
4) watakao kwa karibu tukio hili ndo watakao wekwa ndani.
5). Mwana ccm atakaye onyesha wazi huruma kwa Mbowe atatengwa/fukuzwa uanachama.

6)Watakao fanya maombi kwa mgonjwa watakamatwa na kuswekwa ndani.
7).Itasemwa kuwa Chadema ndo wameyengeneza tukio ili waonewe huruma, ingawa hao "Chadema" hawatakamatwa.
..THE UNITED REPUBLIC OF GANGSTER...
 
Unataka kusema KUB alikuwa anatokea night club?
 
Unataka kuhalalisha unyama aliofanyiwa Mbowe, sometimes una akili ndogo sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…