Dodoma: Mwenyekiti wa CHADEMA Freeman Mbowe avamiwa, apigwa na kujeruhiwa na watu wasiojulikana

Mbowe bhana, hivi hizi drama ni mpaka lini?

Yani mtu anazurura mpka usiku wa manane alafu hana walinzi kisa corona? Huko anakozunguka hakuna corona?

Sent from my SM-T585 using JamiiForums mobile app
Hii ni kazi ya Mwenyekiti wetu wa CCM, sijui kwanini anawaogopa Wapinzani kiasi hiki? Amejenga mabarabara, madaraja, kununua ndege n.k japo kwa fedha za mikopo ambayo tutailipa wananchi wenyewe huko mbeleni, lakini bado hofu imemjaa tu.
 
Yani Lisu apatiwe ulinzi na selikali?

Hivi kila mtu akilalamika anatishiwa hiyo selikali itawapa ulinzi watu binafsi wangapi?

Sent from my SM-T585 using JamiiForums mobile app
 
Mimi nina mashaka Inawezekana hizi ni njama ndani ya chama kumpoteza Mbowe ili kuwapokonya watu wa Kilimanjaro Chama chao.
Hii ni kazi ya Mwenyekiti wetu wa CCM, sijui kwanini anawaogopa Wapinzani kiasi hiki? Amejenga mabarabara, madaraja, kununua ndege n.k japo kwa fedha za mikopo ambayo tutailipa wananchi wenyewe huko mbeleni, lakini bado hofu imemjaa tu.
 
Sijawahi watawala wanao uogopa upinzani kiasi hiki
 
Kwaio Mbowe Kaka nyangwa Mpaka kavunjika mguu na mkono alikua amekaa style gani Mana inaonesha wazi hakua amelala chali Wala kulalia tumbo Kuna stail alikua amekaa MTUSAIDIE jaman
Mana style zingine ni ngumu kufanywa mpaka ipelekee mguu na mkono kuvunjika huenda alikua kapinda mguu umekaa vibaya au mkono umeingia sehemu mbaya mifano kwenye mbao
 
Nimeamini kabisa kuwa ndani ya ccm hali ya kisiasa ni ngumu sana na wanaamini kabisa kuwa hakuna mwanachi wa kuwachagua tena
Hawa jamaa wameshaona kuwa Chadema inaelekea kuwatoa kamasi sasa wameamua kumwaga damu.
 
Hivi hawa majambazi wanatuvamiaga sisi tusio wanasiasa wakivamiwa wengene ni siasa pia mbowe hana maadui binafsi nje ya siasa najiuliza tu
 
Uongozi wa serikali ya awamu ya tano ni uongozi was kipumbavu kabisa
 
Yan Mbowe kuka nyangwa anasea ni magufuli huu ujinga sijui utaisha lin toka Lin magufuli AKA kanyaga watu??
Hivi hawa majambazi wanatuvamiaga sisi tusio wanasiasa wakivamiwa wengene ni siasa pia mbowe hana maadui binafsi nje ya siasa najiuliza tu
 
Unaonaje wewe ukiwa ni kiongozi wa washenzi?
Chadema ni wapuuzi sana baada ya issue ya corona kubuma mmeanza mchezo wenu wa kujiteka,washenzi sana nyie,mtashindwa tu
 
Mwanaharakati huru na genge lake wameshafanya yao
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…