Dodoma: Mwenyekiti wa CHADEMA Freeman Mbowe avamiwa, apigwa na kujeruhiwa na watu wasiojulikana

Barikiwa sana sana, nimekuelewa ndugu yangu
 
Chadema, we are tired of your bulshit. If you can't call for mass action, then trust me we are trashing your membership cards. We are fed up
 
Matusi ya nini sasa jamani?
povu la nn sasa, kwa we mwenyewe sio sperms? Laiti baba yako angejua siku ya kuingiza mimba yako ungezaliwa mtoto mwenye mitusi namna hii bora angepiga nyeto amwage chooni tu.
 
 
Kwani amewaumiza wangapi ndani ya Chama?
Naunga Mkono hoja, ni wakati wake sasa kulipa.
Unalala na wake za watu, kila girlfriend wa mwenzio unamtamani, hutaki mtu akuguse.
Anawaonngoza viongozi wenzake kama watoto wa shule. Anawafukuza kwenye chama kihuni. Anatumia pesa ya chama apendavyo. Je, hajajenga uadui wa kutosha dhidi yake? Na bado anatetewa? Je, hao wanao mtetea wakiitwa "wapumbavu na malofa" nao watakasirika!
 
Get well soon Mh Mbowe,hawa wamepagawa na wapo stressed and they are obsessed.Hawa wasiojulikana ni kina nani hasa hapa nchini?Hawa wanaowatuma wanaamini kwa mbinu kama hizi wanadhani ndiyo watapendwa na Wananchi?Kwa nini wanaendelea kutokujulina?Uimara wa vyombo vyetu vya ulinzi upo kwa kiwango gani?
Hivi kama viongozi wanashambuliwa katika maeneo rasmi yenye uangalizi/ulinzi 24/7 nani yupo salama nchi hii?Je,ni rahisi kiasi gani kumvamia Mbowe ambaye ni KUB,anatembea kwa gari muda mwingi inakuwaje kuvamiwa na vibaka?Alitekwa?Mambo ni mengi ila muda in finyu.
 
Binafsi nachukia mtu kama wewe kufanya CCM jalala la takataka za CHADEMA. Kutokaa naxmatukio ya kunyanyasana CHADEMA, hakuna shaka kuna migogoro ya ndani kwa ndani ya chama ambayo ninyi hamko jasiri kuizungumzia mkapata suluhisho la kudumu.

Nawahakikiushia umakini wa Serikali iliyoko madarakani, shambulio dhidi ya Mbowe, litaweka hadharani uchafu na uozo uliyoko CHADEMA, once and for all, ili viongozi na wafuasi wao wasiendelee kuumwaga CCM. Hakuna jiwe litaachwa kufunuliwa.
 
Eeenh, "---jambo hili ni la 'kupika'".

Great Thinkers of JF, mbele kwa mbele!
 

Tayari wewe mwenyewe umeonesha ushabiki na chuki dhahiri pale unaposema CCM, CCM, CCM MUNGU anawaona
 
Dodoma sio salama tena, Mji mdogo mambo mengi.
Itakuwaje salama wakati inasadikika wahusika ni wakutumwa na waliostahili kuwalinda wahanga?Usalama wa miji yetu ni mdogo na hatuna vyombo imara vya ulinzi.
Kila kitu ni siasa hadi inakera.Hebu tubadili utawala tuone wengine watakavyokabiliana na hizi changamoto.
Dodoma hapo hapo kina kiongozi alishambuliwa mchana na bado leo wahalifu wanaitwa wasiojulikana.Vyombo vyetu vya uchunguzi ni efficient? Hata hili kabla ya uchunguzi unaambiwa ni vibaka,wahuni, na hakuna LA maana.Vibaka wa Dodoma?
 
Unajua watanzania tunasahau kirahisi sana. Kumbukeni ule ujumbe wa Gwajima kwa wana-ukoo wake kuhusu kumlinda rais kwa hali na mali mtaelewa nini kinaendelea. Nchi imeharibiwa sana na hawa watu...
Inawezekana ukawa umeweka kidole penye tatizo mkuu 'fazili'; ila sikumbuki alichowambia Gwajima wanajamii wake ni nini ..., unaweza kudokeza kidogo hapa nasi tujue?
 
Unajua watanzania tunasahau kirahisi sana. Kumbukeni ule ujumbe wa Gwajima kwa wana-ukoo wake kuhusu kumlinda rais kwa hali na mali mtaelewa nini kinaendelea. Nchi imeharibiwa sana na hawa watu...
Ndio maana chdm wanamhusish nabii mashimo
 
Unajua watanzania tunasahau kirahisi sana. Kumbukeni ule ujumbe wa Gwajima kwa wana-ukoo wake kuhusu kumlinda rais kwa hali na mali mtaelewa nini kinaendelea. Nchi imeharibiwa sana na hawa watu...
Umemsikia Lijua likali wewe! Kumbe Hasira zetu tumezijenga kwenye vitu vya uongo buana! Eti ni pombe na badala ya kusema ni pombe, inasingiziwa sirikali

Sijui ni kweli, mi simo
 
Acha ujinga wako, toa mifano, pia nimekuuliza, kwahio kwakua walifanya hvyo (ambayo najua ni uongo pia) na wewe ndio ufanye hivyo? Ndio akili zenu zinawatuma hivyo?
Wewe na wenye mawazo kama yako humu JF hamjui kinachozungumzwa, kupangwa na kutekelezwa na Kamati ya Kamati Kuu ya CHADEMA.

Kutenda kosa siyo kosa lakini kurudia kosa ni kosa, wahenga walinena. Makosa ndani ya CHADEMA yamekuwa mengi (Chacha Wangwe, Ben Saanane, Lissu) kiasi cha kujiuliza kulikoni. Sasa kaguswa Mbowe, M/Kiti na KUB, ambaye ana ulinzi saa 24, hata akiwa anatoa hotuba sehemu yoyote, ni dhahiri kosa hili alisameheki tena. Ukweli zamu hii utafichuliwa.
 
Yaani kama ndio siasa hizi, hii chuki inayopandikizwa itatughalimu siku moja.
Hiyo chuki ni tafsiri yako, wa Tz wengi wapo busy na maisha yao na wana siasa wapo busy na Maisha yao, in fact unaweza kukuta hili tukio likawa exit plan ya victim , kisingizio kapigwa wakati kesha vuna vyakutosha
 
Wewe unayekijua kiseme! Poor you! Acheni ramli chonganishi, na ya kwenu yanajulikaña pia
 
Moods wameondoa post yangu ambayo ilielezea kile ambacho Lijualikali amekisema bungeni muda mfupi uliopita ambacho kwa mtazamo wangu kingewarahisishia Polisi katika uchaguzi wao

Lijualikali anasema Mbowe ameanguka sababu ya ulevi

Anadai maelezo ya Msigwa kwamba walikuwa ote hadi saa moja jioni kisha wakaachana inathibitisha kwamba walienda kulewa

Amepigiwa makofi mengi na wabunge ila picha ya Waziri Mkuu ambayo Star Tv wamezoom akisikiliza ni "kama" moyoni alikuwa anasikitika maneno yanayomtoka Lijualikali

Baada ya kumaliza, Spika amesimama nakutoa kauli tata kwamba ndiomaana hawataki kusema

Spika amesema hata wao wanajiuliza kwanini Mbowe alipelekwa kituo cha Afya cha binafsi badala ya hospital?

Binafsi sijui Lijualikali anauhakika gani na maneno aliyoyasema ila kam Taifa bado tunasafari ndefu hasa kwa huu ulevi wa siasa wa kutojua useme nini na wakati gani

Nadhani Polisi sasa kazi yao itakamilika leo jioni, hata kama ameongelea Bungeni mi naona kistaarabu tu akahojiwe athibishe kauli yake la sivyo aombe radhi maana kipimo cha ulevi sidhani Kama alikuwa nacho kumpima
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…