the truecaller
JF-Expert Member
- May 8, 2019
- 809
- 940
Ndio mlipanga ionekane hivyo?Nilijua tu kwa mhemko wa maccc baada ya Lissu kutangaza nia lazima watapanic na kufanya ujinga. Green guard mnatupeleka wapi?
Tunako elekea siyo kabisa kama taifa.Washaanzisha Iterahamwe uliona hata Askofu Gwajima alitoa tangazo kwa lugha ambayo sio kiswahili la kuwahamasisha vijana wajiunge. Polisi walichukua hatua gani?
Haya makundi ya kihalifu siku wanatemtetea anaindoka watajeuka waasi na itahitaji nguvu kubwa sana ya kijeshi kuwaondoa
Mtajiapiza hadi mchubue shingoKiama chenu kinakuja
Tunazidi kuichukia CCMYaani LAANA yao si ndogo ndugu. Ndo maana hawafanikiwi.
Anayefikiri JPM anaweza kubariki huu ujinga ni kichaa na mgonjwa wa ushabiki wa kisiasa. Mimi naamini kuna mambo ya ajabu yanaendelea kwenye siasa zetu ambayo hayawekwi wazi.
Mh Philip Mangula amepewa sumu na tunaofatilia siasa muda mrefu tunajua misimamo yake iliyofanya adhalilishwe miaka ya nyuma kabla hajarudi tena awamu hii. Kuna mapito ya kisiasa tunapitia ambayo misuguano huko ndani inawezekana ni mizito mno na cheche zake ndio kama hizi.
Duh nimekosa la kusema... Maskini Tanzania
In case you don't know, kuna watu wanaolala maofisini, acheni ushamba wenu huu wa awamu ya tano.Nimesikia toka BBC asubuhi hii.
Amevamiwa akirudi nyumbani alfajiri ya saa tisa.
Kiongozi makini saa tisa usiku bila walinzi?
Usiku wa saa tisa bado kulala ili kujiandaa na majukumu siku inayofuata?????
Hotuba tu watu wameanza kuumizwa.. Vipi kampeni?Kama matendo yao yanapelekea "kupendwa" kama wanavyojinasibu kuwa ni watetezi wa wanyonge. Kwanini wahangaike hivi kuhakikisha wanatoa uhai wa viongozi wa upinzano hasa CHADEMA?.
Na yule anaye lala na mafaili kuleNimesikia toka BBC asubuhi hii.
Amevamiwa akirudi nyumbani alfajiri ya saa tisa.
Kiongozi makini saa tisa usiku bila walinzi?
Usiku wa saa tisa bado kulala ili kujiandaa na majukumu siku inayofuata?????
Cyprian Musiba atakuwa mhusika mkuu amesikika mara nyingi hadharani kuwa atawashughulikua wakosoaji wa Serikali.
Hapana hiyo ni kazi yenu ndiyo maana umepandisha uzi huu. Hatudanganyiki CCM ni genge la kihalifu tuNdio mlipanga ionekane hivyo?