the truecaller
JF-Expert Member
- May 8, 2019
- 809
- 940
Nimesikia toka BBC asubuhi hii.
Amevamiwa akirudi nyumbani alfajiri ya saa tisa.
Kiongozi makini saa tisa usiku bila walinzi?
Usiku wa saa tisa bado kulala ili kujiandaa na majukumu siku inayofuata?????
Amevamiwa akirudi nyumbani alfajiri ya saa tisa.
Kiongozi makini saa tisa usiku bila walinzi?
Usiku wa saa tisa bado kulala ili kujiandaa na majukumu siku inayofuata?????