Bana likasi
JF-Expert Member
- Jan 7, 2020
- 6,926
- 6,422
Wameukimbiza upepo,walishindana na dunia wee! Leo ni historia.Hawa nao watapita tu Kama upepo.alikuwepo idd amin na mobutu.wako wapi now?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wameukimbiza upepo,walishindana na dunia wee! Leo ni historia.Hawa nao watapita tu Kama upepo.alikuwepo idd amin na mobutu.wako wapi now?
kwa hiyo kilichotokea ni maigizo si ndio ? kuvunjwa mguu ni maigizo? kenge weweIla vitu vingine jamani, inamaana Mbowe hana bodigadi,yaani anatembea bila walinzi?? Diamond ana bodgad sembuse Kub?? Tuache maigizo basi
Yaani kama ndio siasa hizi, hii chuki inayopandikizwa itatughalimu siku moja.Unajua ana Mke na watoto, hivyo haiwezekani kimada au awe mchepuko, itakuwa ni "wahuni" hii kisiasa na kifamilia ndio inakaa vizuri zaidi.
Na zaidi ya hapo hakuwepo hapo Maisha club sababu ya lockdown ya nchi jirani maana sisi hatufuati who directives , watakuwa "wahuni" wamemleta hapo
Mkuu Elli nafikiri wewe sio msomaji wa mtandao huu wa JF au umeamua kukataa kitu ambacho kila mchangiaji wa mtandao huu anajua labda wewe tuu.
Ukitaka kuona matusi, maneno ya karaha, dhihaka, manyayaso hata kukufuru angalia michango ya uzi wowote ule ambao Chadema wanauona ni hasi kwao.
Naweza kuleta komenti zaidi ya 200 wacha moja ambazo zitathibitisha haya.
Kuna mabadilika ambayo nayaona yanakuja kidigo kidogo ambayo wachangiaji wa mrengo wa Chadema na CCM wanaelekea kutoshana nguvu.
Ninaanza kuwa na woga hata kuandika. Ila tunakoelekea ni kubaya sana . tutaanza kuona visasi vikilipizwa kwa kuvizia na mwisho hatutakuwa na utulivu. Tuache kucheza na uhai wa watuToka lini hospitali za Dar zimeanza kuaminika kuwa na ulinzi madhubuti wa kuwazuia wasiojulikana ili wasimdhuru zaidi Mwamba? mpelekeni mr. dj ubelgiji ili akatibiwe huko kama Lissu.
aiseeMwanaharakati huru na genge lake wameshafanya yao.
si kazi yako kujua alikuwa anatoka wapiUsiku wa saa tisa alikuwa anatoka wapi?
Wewe wazazi wako walipoteza mbegu zao,they wasted spam. Wasingepoteza muda kuzaa mtu kama wewe . nonsenseMtu anajipiga mwenyewe kutafuta huruma ya wananchi tu, machadema mbona mna mbinu za kitoto sana!!
kwa kweli hapana. imetoshaOhh my God
Hii nchi Hapana aisee
Regime hii inaenda mbali sana.
Natarijia MUROTO atawatafuta hao WAHUNI waliompiga MWAMBA.
Kama ni kwelii Basi Taifa limefikia hatua mbaya Sana Toka tupate Uhuru,
Mbowe amekuwa mtu wa busara busara nyiiiiingi hata mahali zisipohitajika/anapoonewa tofauti kabisa na Kina Lema na yule mbunge wa kule Nyamongo ambao wao ni watu wamisimamo kama ni mbaya iwe mbaya tu.
Sasa acha Mbowe apewe kichapo kidogo akitoka hosp. Nadhani atapnguza zile busara busara zake ambazo hua zinapelekea kuonewa bila mpango.
Mimi nina mashaka Inawezekana hizi ni njama ndani ya chama kumpoteza Mbowe ili kuwapokonya watu wa Kilimanjaro Chama chao.
Unajua watanzania tunasahau kirahisi sana. Kumbukeni ule ujumbe wa Gwajima kwa wana-ukoo wake kuhusu kumlinda rais kwa hali na mali mtaelewa nini kinaendelea. Nchi imeharibiwa sana na hawa watu...Lissu hizo gharama za kukaa ulaya unataka kuzilipa kwa kuwapa mabeberu rasilimali zetu pale utakapoingia ikulu.
Hatukuhitaji mtu kama wewe awe rais
hata kama watapewa wengi majeraha ya kudumu usiku haukawii kucha. Tumekaribia sana mapambazukoIngekuwa kwa wenzetu uchunguzi wa kina ungefanyika maana kama ni eneo lenye ulinzi wa kutosha means hata CCTV zipo za kutosha ilanahakika Jeshi lapolisi litashindwa pata watuhumiwa, nakumbuka kipindi cha lissu alipiga sana kelele kuhusu gari inayomfatilia na hata plate number matokeo yake gari ilikuwa haijulikani,
Lissu alisema kuna CCTV ila nazo nahis picha zilifutika ... ifike mahali watawala waseme hawautaki upinzani basi lijulikane moja maana this is too much ni wangapi watapewa majeraha ya kudumu, wangapi watapewa ulemavu wa kudumu kama Lissu na wangapi watauwawa kisa siasa?
wahenga walisema, malipo ni hapahapa duniani. Na haya yaliyonenwa yatatimia asilaniNinachojua ni kwamba hakuna uovu ambao hautalipwa kisasi katika dunia hii, ni suala la muda tu.
Sent using Jamii Forums mobile app
safi kabisaAkili ni nywele ndiyo maana wakati wewe unashinda na njaa sisi wenzako tunakula bata lkn bado hatuna mipango na ccm.
Kweli aisee, kwa nini ameendelea kuwa kimya ilhali washenzi wachache wanamharibia sifa kitaa? Ukimya wake unamaanisha nini kwa watu wake hasa kwa matukio haya?Kwanini kama Rais amekuwa Kimya juu ya Matukio haya ambayo yameota Mizizi hasa katika Awamu yake hii na wala hayakemei kabisa Ndugu?
Hivi hawa majambazi wanatuvamiaga sisi tusio wanasiasa wakivamiwa wengene ni siasa pia mbowe hana maadui binafsi nje ya siasa najiuliza tu