Chizimtoto
Member
- Mar 15, 2019
- 10
- 8
Basi tu pesa hakuna, hiyo bei iko chini sana.Nawaamkia wanajamii forum. Kama ulikuwa na hamu ya kumiliki gari, nafasi hii apa. sina mengi nipo UDOM nauza gari langu T 456 BEA nikalipe Ada, M5 Gx 100 kwa shilingi 2.7 milioni. Gari lipo vizuri, halijawahi kupigwa rangi mpya hiyo n rangi yake ya dukani, Mziki mkubwa.. haina tatzo lolote kila kitu kipo kama lilivyokuwa jipya. Njoo na fundi wako unae mwamini ili hakuhakikishie.
Nb. Bima imeisha na ya kurenew
0756086125 kuona bure.View attachment 1152691View attachment 1152692View attachment 1152693View attachment 1152694View attachment 1152695View attachment 1152696
acha wivu dogoWazazi walikupa ADa ukanunua gar bovu kuvimbia chuoni. sasa umefika wakati wa mitihani ndyo umeanza kuhangaika na adda?
Pole sana mkuu. Maana kama haina sida, hiyo bei ni ya chini sana.Nawaamkia wanajamii forum. Kama ulikuwa na hamu ya kumiliki gari, nafasi hii apa. sina mengi nipo UDOM nauza gari langu T 456 BEA nikalipe Ada, M5 Gx 100 kwa shilingi 2.7 milioni. Gari lipo vizuri, halijawahi kupigwa rangi mpya hiyo n rangi yake ya dukani, Mziki mkubwa.. haina tatzo lolote kila kitu kipo kama lilivyokuwa jipya. Njoo na fundi wako unae mwamini ili hakuhakikishie.
Nb. Bima imeisha na ya kurenew
0756086125 kuona bure.View attachment 1152691View attachment 1152692View attachment 1152693View attachment 1152694View attachment 1152695View attachment 1152696
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Wazazi walikupa ADa ukanunua gar bovu kuvimbia chuoni. sasa umefika wakati wa mitihani ndyo umeanza kuhangaika na adda?
Umepat?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Umepata?Nawaamkia wanajamii forum. Kama ulikuwa na hamu ya kumiliki gari, nafasi hii apa. sina mengi nipo UDOM nauza gari langu T 456 BEA nikalipe Ada, M5 Gx 100 kwa shilingi 2.7 milioni. Gari lipo vizuri, halijawahi kupigwa rangi mpya hiyo n rangi yake ya dukani, Mziki mkubwa.. haina tatzo lolote kila kitu kipo kama lilivyokuwa jipya. Njoo na fundi wako unae mwamini ili hakuhakikishie.
Nb. Bima imeisha na ya kurenew
0756086125 kuona bure.View attachment 1152691View attachment 1152692View attachment 1152693View attachment 1152694View attachment 1152695View attachment 1152696
Ohoooo!!!Wazazi walikupa ADa ukanunua gar bovu kuvimbia chuoni. sasa umefika wakati wa mitihani ndyo umeanza kuhangaika na adda?
Bado lipo..Umepat?