Dodoma: Polisi yamsaka nchi nzima aliyetangaza kuuza mtoto kwenye mitandao ya kijamii kwa TSh. milioni 1.6

Dodoma: Polisi yamsaka nchi nzima aliyetangaza kuuza mtoto kwenye mitandao ya kijamii kwa TSh. milioni 1.6

Waufukweni

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2024
Posts
2,060
Reaction score
5,648
Jeshi la Polisi linamtafuta kwa kuendesha msako nchi nzima mtu ambaye anaonekana kushoto mwa taarifa hii ambaye ametengeneza na kusambaza picha mjongeo (video clip) akitangaza jongeo kuwa anamuuza mtoto al aliyembeba kwa shilingi milioni moja na laki sita. Msako huo utahakikisha anakamatwa ili hatua nyingine za kisheria ziweze kufuata.

Aidha, Jeshi la Polisi linalaani kitendo hicho cha kikatili na kilicho kinyume na sheia. Pia, linatoa wito kwa wananchi kuendelea kufichua vitendo kama hivyo, kuvilaani kuvikemea kwani vinaweza kusababisha madhara kwa watoto ili hatua zichukuliwe kabla madhara hayajatokea.

Taarifa ya Jeshi la Polisi;

IMG_2242.jpeg
 
Naona ishu ya kabendera inatafutiwa spinning ya hali ya juu..
Hii ni habar ya kutangaza.kweli hadi na mabarua mitandaoni? [emoji16] Mtu mwenye akili timamu anawesa kujirekodi anauza mtoto mitandaoni? Ana shida ya hela , hela ya kununua smartphone kaipata wapi..?
Kabendera kapinga ndonga ya chembe yanii mtafutano sako la nyani..
 
Jeshi la Polisi linamtafuta kwa kuendesha msako nchi nzima mtu ambaye anaonekana kushoto mwa taarifa hii ambaye ametengeneza na kusambaza picha mjongeo (video clip) akitangaza jongeo kuwa anamuuza mtoto al aliyembeba kwa shilingi milioni moja na laki sita. Msako huo utahakikisha anakamatwa ili hatua nyingine za kisheria ziweze kufuata.

Aidha, Jeshi la Polisi linalaani kitendo hicho cha kikatili na kilicho kinyume na sheia. Pia, linatoa wito kwa wananchi kuendelea kufichua vitendo kama hivyo, kuvilaani kuvikemea kwani vinaweza kusababisha madhara kwa watoto ili hatua zichukuliwe kabla madhara hayajatokea.

Taarifa ya Jeshi la Polisi;

View attachment 3191510
Mungu atusaidie Jamani
 
Jeshi la Polisi linamtafuta kwa kuendesha msako nchi nzima mtu ambaye anaonekana kushoto mwa taarifa hii ambaye ametengeneza na kusambaza picha mjongeo (video clip) akitangaza jongeo kuwa anamuuza mtoto al aliyembeba kwa shilingi milioni moja na laki sita. Msako huo utahakikisha anakamatwa ili hatua nyingine za kisheria ziweze kufuata.

Aidha, Jeshi la Polisi linalaani kitendo hicho cha kikatili na kilicho kinyume na sheia. Pia, linatoa wito kwa wananchi kuendelea kufichua vitendo kama hivyo, kuvilaani kuvikemea kwani vinaweza kusababisha madhara kwa watoto ili hatua zichukuliwe kabla madhara hayajatokea.

Taarifa ya Jeshi la Polisi;

View attachment 3191510
Bora kuuza kuliko kuua hapa inabidi asaidiwe kulea
 
Jeshi la Polisi linamtafuta kwa kuendesha msako nchi nzima mtu ambaye anaonekana kushoto mwa taarifa hii ambaye ametengeneza na kusambaza picha mjongeo (video clip) akitangaza jongeo kuwa anamuuza mtoto al aliyembeba kwa shilingi milioni moja na laki sita. Msako huo utahakikisha anakamatwa ili hatua nyingine za kisheria ziweze kufuata.

Aidha, Jeshi la Polisi linalaani kitendo hicho cha kikatili na kilicho kinyume na sheia. Pia, linatoa wito kwa wananchi kuendelea kufichua vitendo kama hivyo, kuvilaani kuvikemea kwani vinaweza kusababisha madhara kwa watoto ili hatua zichukuliwe kabla madhara hayajatokea.

Taarifa ya Jeshi la Polisi;

View attachment 3191510
4_Children_for_Sale.jpg
 
Naona ishu ya kabendera inatafutiwa spinning ya hali ya juu..
Hii ni habar ya kutangaza.kweli hadi na mabarua mitandaoni? [emoji16] Mtu mwenye akili timamu anawesa kujirekodi anauza mtoto mitandaoni? Ana shida ya hela , hela ya kununua smartphone kaipata wapi..?
Tuna issues kubwa sana zaidi ya hii ila hii ndio wanaipa airtime.
 
Polisi wakati mwingine wanatakiwa wawe marafiki na raia, hapo hakuna haja ya kutoa vitisho au kukamatana, wangesema tu huyo kijana aje asaidiwe na kuona tatizo ni nini.
 
Jeshi la Polisi linamtafuta kwa kuendesha msako nchi nzima mtu ambaye anaonekana kushoto mwa taarifa hii ambaye ametengeneza na kusambaza picha mjongeo (video clip) akitangaza jongeo kuwa anamuuza mtoto al aliyembeba kwa shilingi milioni moja na laki sita. Msako huo utahakikisha anakamatwa ili hatua nyingine za kisheria ziweze kufuata.

Aidha, Jeshi la Polisi linalaani kitendo hicho cha kikatili na kilicho kinyume na sheia. Pia, linatoa wito kwa wananchi kuendelea kufichua vitendo kama hivyo, kuvilaani kuvikemea kwani vinaweza kusababisha madhara kwa watoto ili hatua zichukuliwe kabla madhara hayajatokea.

Taarifa ya Jeshi la Polisi;

View attachment 3191510
mkuu naona una search mambo yetu apo..ninazo zote nichek
 
Polisi wakati mwingine wanatakiwa wawe marafiki na raia, hapo hakuna haja ya kutoa vitisho au kukamatana, wangesema tu huyo kijana aje asaidiwe na kuona tatizo ni nini.
Urafiki wa Polisi wa Tanzania kwa raia ni ule wa kukusaidia kwa kumpiga kirungu chao mbu alie kwenye kichwa chako ili asikuume ukapata malaria! Tena hapo ni kwa sababu siku hiyo hakuwa na SMG!
 
Back
Top Bottom