Dodoma: Rais Samia afanya mkutano na Wanawake ukumbi wa Jakaya Kikwete

Dodoma: Rais Samia afanya mkutano na Wanawake ukumbi wa Jakaya Kikwete



Wanawake zaidi ya 10,000 Mkoa wa Dodoma makundi mbalimbali wanatarajiwa kukutana na Rais Samia Suluhu Hassan Juni 8 mwaka huu katika mkutano utakaofanyika ukumbi wa Jakaya Kikwete.

Hayo yamesemwa leo Juni 6,2021 na Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Anthony Mtaka wakati akizungumza na waandishi wa habari jijini Dodoma, amesema Rais Samia atazungumza na wanawake wa Mkoa wa Dodoma kwa niaba ya kina mama wa mikoa yote.

Wakina mama kwa uwakilishi wao wa makundi mbalimbali kutoka wilaya za Dodoma na maeneo ya karibu wamepewa mwaliko wa kushiriki kwenye mkutano huo,” amesema Mtaka.

Aidha, ametaja makundi hayo kuwa ni pamoja na wabunge wanawake bila kujali wapo chama gani, madiwani na makundi kama wajasiriamali, mama ntilie na kila aina ya kina mama watapata nafasi ya kuwakilishwa na wenzao.

Ajitahidi akemee sana 'Usagaji' mkubwa.
 
Wote hapo ni sisiemu
hapo ndipo wanapoharibugu, ilitakiwa wanawake wote kwa makundi makundi kwa mfano:-

1. Umoja wa wanawake wote toka katika vyama vya siasa nchini vilivyo na usajili wa kudumu.
2. Wanawake wanaharakati haki za binadamu
3. Wanawake Wabunge na viongozi wa umma
4. Wanawake wajasiliamali na wafanyabiashara
5. Wanawake toka makundi ya walemavu
6. Wanawake toka vyuo vikuu vyote nchini
7. Wanawake Wafanyakazi wa umma
8. Wanawake wakulima na wafanyakazi
9. Wanawake wawakilishi toka wafanyakazi wa ndani / Bar / Sehemu za starehe / wasanii
10. Mwakilishi wanawake Raia wa Tanzania.

Kila kundi lingekuwa na sehemu yake (identified) hata ikiwezekana sare maalum.
Kila mwakilishi wa kundi angepewa walau dakika 5 tu za kutoa dukuduku / changamoto kubwa waliyonayo, kabla ya Rais kuhitimisha.

Makundi walau yangekuwa hivi kuna mtu angetia neno ndugu zangu??
 


Wanawake zaidi ya 10,000 Mkoa wa Dodoma makundi mbalimbali wanatarajiwa kukutana na Rais Samia Suluhu Hassan Juni 8 mwaka huu katika mkutano utakaofanyika ukumbi wa Jakaya Kikwete.

Hayo yamesemwa leo Juni 6,2021 na Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Anthony Mtaka wakati akizungumza na waandishi wa habari jijini Dodoma, amesema Rais Samia atazungumza na wanawake wa Mkoa wa Dodoma kwa niaba ya kina mama wa mikoa yote.

Wakina mama kwa uwakilishi wao wa makundi mbalimbali kutoka wilaya za Dodoma na maeneo ya karibu wamepewa mwaliko wa kushiriki kwenye mkutano huo,” amesema Mtaka.

Aidha, ametaja makundi hayo kuwa ni pamoja na wabunge wanawake bila kujali wapo chama gani, madiwani na makundi kama wajasiriamali, mama ntilie na kila aina ya kina mama watapata nafasi ya kuwakilishwa na wenzao.
Hicho ni kikao cha Kitchen Party
 
Ni Sawa!!

Lakini Kwa Dunia ijayo, naiona Dunia ikiwa upande wa wanawake, dalili zote zinaonekana,

Mikopo inayotolewa na halimashauli zetu, Kwa mwanaume pekee ndio zimempa vigezo vya kuzingatia, Kwa mwanamke ni free ili Hali hizo ni Kodi zetu wote,

Huo ni mf mdogo tu Kati ya vingi vinavyowabeba sasa hawa wake zetu, dada zetu, mama zetu, wakati huohuo wao, wanakampeni ya 50/50 ili Hali sehemu za mikopo hiyo wanapiga 80/20, hii ni ajabu tena

Huko tuendako, Mandiko yanaonyesha, itafika kipindi, wanaume watakuwa wakiwaogopa wanawake kuwatongoza, ila wao watakuwa wakimtafuta mwanaume mmoja wakiwa kama Saba hivi kumlazimisha mwanaume kuwapa chakula Chao!! 😝

Isaya 4:1
[1]Na siku hiyo wanawake saba watamshika mtu mume mmoja wakisema,
 
hapo ndipo wanapoharibugu, ilitakiwa wanawake wote kwa makundi makundi kwa mfano:-

1. Umoja wa wanawake wote toka katika vyama vya siasa nchini vilivyo na usajili wa kudumu.
2. Wanawake wanaharakati haki za binadamu
3. Wanawake Wabunge na viongozi wa umma
4. Wanawake wajasiliamali na wafanyabiashara
5. Wanawake toka makundi ya walemavu
6. Wanawake toka vyuo vikuu vyote nchini
7. Wanawake Wafanyakazi wa umma
8. Wanawake wakulima na wafanyakazi
9. Wanawake wawakilishi toka wafanyakazi wa ndani / Bar / Sehemu za starehe
10. Mwakilishi wanawake Raia wa Tanzania.

Makundi walau yangekuwa hivi kuna mtu angetia neno ndugu zangu??
Angalau ingependeza
 
Hongera Mtaka na waandaaaji ule ujinga na ushamba wa uccm mavazi haupo ,naona umoja wa kitaifa kurejea kwa masuala ya kitaifa.Hongera Mama Samia kuliunganisha taifa.
 
hapo ndipo wanapoharibugu, ilitakiwa wanawake wote kwa makundi makundi kwa mfano:-

1. Umoja wa wanawake wote toka katika vyama vya siasa nchini vilivyo na usajili wa kudumu.
2. Wanawake wanaharakati haki za binadamu
3. Wanawake Wabunge na viongozi wa umma
4. Wanawake wajasiliamali na wafanyabiashara
5. Wanawake toka makundi ya walemavu
6. Wanawake toka vyuo vikuu vyote nchini
7. Wanawake Wafanyakazi wa umma
8. Wanawake wakulima na wafanyakazi
9. Wanawake wawakilishi toka wafanyakazi wa ndani / Bar / Sehemu za starehe / wasanii
10. Mwakilishi wanawake Raia wa Tanzania.

Kila kundi lingekuwa na sehemu yake (identified) hata ikiwezekana sare maalum.
Kila mwakilishi wa kundi angepewa walau dakika 5 tu za kutoa dukuduku / changamoto kubwa waliyonayo, kabla ya Rais kuhitimisha.

Makundi walau yangekuwa hivi kuna mtu angetia neno ndugu zangu??
Hao wote wako hapa mkuu
 
Mwenyekiti wa Chadema Freeman Mbowe amekiri kuwa kushindwa kwa Chadema kwenye uchaguzi mkuu wa mwaka 2020 kulitokana na kuweka wagombea dhaifu kwenye nafasi mbalimbali ikiwemo uraisi na hivyo wamejifunza na uchaguzi ujao wataweka wagombea wenye nguvu na ushawishi watakaozunguka nchi nzima kunadi sera na ajenda za wanachi.

Mbowe amesema Chadema haijawahi kuishiwa ajenda za kupambana na ccm.


My take.

Watakiri yote waliyomsingizia mwendazake laana ya kumtukana imeanza kuwatafuna.

Kumbe waliweka wagombea dhaifu alafu wakasingizia wameibiwa kura na mwendazake. Hovyo kabisa.

Ukidhulumu watu utalipa kwa damu yako na ndio yaliyomkuta huyo mungu wenu, kazi ya Mungu haina makosa na Bwana Asifiwe sana.
 
Back
Top Bottom