Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 95,871
- 116,627
Ataitisha KabudiNgoja tusubiri kama kutakuwa na Mkutano na Wanaume.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ataitisha KabudiNgoja tusubiri kama kutakuwa na Mkutano na Wanaume.
Yap😂😂😂😂Mzee wa kuokotwa Jalalani
Ukikutana nae utamwambia nini labda!??Na sisi wanaume inabidi tupange tukutane na mama yetu, maana na sisi tuna yetu ya binafsi yanayotusibu kama wanaume.
Mama yetu? I don’t get that. Naheshimu Wanamaker wote but I got only one mother. Geee hii nayo imetoka wapi? She is a President not my mama!!Ukikutana nae utamwambia nini labda!??
kuna wanaume wanabambikiziwa mimba ki utemi utemi, wananyanyaswa kunyimwa unyumba au kupewa kwa masharti, wakikosa kipato wananyanyasika sana hadi wengine wanakufa kwa msongo wa mawazo nkUkikutana nae utamwambia nini labda!??
Yule dikteta alikuwa anapambania kuua watu na kuteka, Bora limekufa nchi imepata Rais mfariji sio yule ibilisiMuda mwingi anapambania gender balance kuliko mambo ya msingi
Wewe una akili ya kuku. You have blood on your hands. He didn’t die but he was murdered.Yule dikteta alikuwa anapambania kuua watu na kuteka, Bora limekufa nchi imepata Rais mfariji sio yule ibilisi
Dah...Huu ni ubaguzi wa kijinsia, lini atafanya na wanaume wote?
Polepole atakuwa MCAtaitisha Kabudi
Mwandikie baruaOmbi inabidi liwasilishwe 😂😂😂😂
Kumbe corona ina murder watu, i didn't know !!Wewe una akili ya kuku. You have blood on your hands. He didn’t die but he was murdered.
Alafu akamteua mwanamke Samia kuwa makamu wakeYule dikteta alikuwa anapambania kuua watu na kuteka, Bora limekufa nchi imepata Rais mfariji sio yule ibilisi
That's what I have always thought. Sikuwahi kusikia marais wa nyuma wakiitwa baba Nyerere, baba Mwinyi... Why call Samia mama Samia?!She is a President not my mama!!
Hata hivyo hatuna mpango wa kuitwa maana tunajiaminiWanaume tutakubali kweli tukiitwa?
Alivyo wa ajabu, kuna uandikishaji wa wakaazi wa mitaa, sasa issue iko hivi, kama mwanaume unamiliki nyumba watakuandika jina lako kama mmiliki na mkeo watamuandika mke lakini nyumba inayomilikiwa na mwanamke watamuandika kama mmiliki lakini muwewe watamuandika mgeni. Hapo Rais anapambania gender tu.Muda mwingi anapambania gender balance kuliko mambo ya msingi
Mwenyekiti wa Chadema Freeman Mbowe amekiri kuwa kushindwa kwa Chadema kwenye uchaguzi mkuu wa mwaka 2020 kulitokana na kuweka wagombea dhaifu kwenye nafasi mbalimbali ikiwemo uraisi na hivyo wamejifunza na uchaguzi ujao wataweka wagombea wenye nguvu na ushawishi watakaozunguka nchi nzima kunadi sera na ajenda za wanachi.
Mbowe amesema Chadema haijawahi kuishiwa ajenda za kupambana na ccm.
My take.
Watakiri yote waliyomsingizia mwendazake laana ya kumtukana imeanza kuwatafuna.
Kumbe waliweka wagombea dhaifu alafu wakasingizia wameibiwa kura na mwendazake. Hovyo kabisa.
![]()
Mbowe: Hatukuwa na wagombea sahihi
Kuanza sasa wanachama wa Chadema watakuwa wakivaa sare za chama hicho kila Jumamosi ikiwa ni mkakati wa kuongeza motisha kwa makada wake wote.www.mwananchi.co.tz