Kasiano Muyenzi
JF-Expert Member
- Feb 3, 2018
- 13,858
- 22,729
Si wapo wale wazee wa Dar huwakilisha wanaume wpte.Huu ni ubaguzi wa kijinsia, lini atafanya na wanaume wote?
Sema jingine bwashee
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Si wapo wale wazee wa Dar huwakilisha wanaume wpte.Huu ni ubaguzi wa kijinsia, lini atafanya na wanaume wote?
Hakuna tabu atafanya wakati mwinginehapo ndipo wanapoharibugu, ilitakiwa wanawake wote kwa makundi makundi kwa mfano:-
1. Umoja wa wanawake wote toka katika vyama vya siasa nchini vilivyo na usajili wa kudumu.
2. Wanawake wanaharakati haki za binadamu
3. Wanawake Wabunge na viongozi wa umma
4. Wanawake wajasiliamali na wafanyabiashara
5. Wanawake toka makundi ya walemavu
6. Wanawake toka vyuo vikuu vyote nchini
7. Wanawake Wafanyakazi wa umma
8. Wanawake wakulima na wafanyakazi
9. Wanawake wawakilishi toka wafanyakazi wa ndani / Bar / Sehemu za starehe / wasanii
10. Mwakilishi wanawake Raia wa Tanzania.
Kila kundi lingekuwa na sehemu yake (identified) hata ikiwezekana sare maalum.
Kila mwakilishi wa kundi angepewa walau dakika 5 tu za kutoa dukuduku / changamoto kubwa waliyonayo, kabla ya Rais kuhitimisha.
Makundi walau yangekuwa hivi kuna mtu angetia neno ndugu zangu??