MNFUMAKOLE
JF-Expert Member
- Nov 14, 2014
- 1,502
- 1,886
Tutakula chakula chetu, na kuvaa nguo zetu, lakini tuitwe kwa jina lako tu! ili utuondelee aibu.Ni Sawa!!
Lakini Kwa Dunia ijayo, naiona Dunia ikiwa upande wa wanawake, dalili zote zinaonekana...
Kwani matatizo ya wanawake nchi hii ni uongozi/teuzi ?Muda mwingi anapambania gender balance kuliko mambo ya msingi
Nafuu huyu anaye deal na gender balance kuliko yule aliyekuwa anashinda kurekodi maongezi ya simu za wastaafu na kulala kwenye mawe kama kengeMuda mwingi anapambania gender balance kuliko mambo ya msingi
Samia ni feminist. But i dont care!Muda mwingi anapambania gender balance kuliko mambo ya msingi
Bado tu Unapigana na maiti? Mpige kichwa! Mkate ngwala - Karibu utamshinda, jikaze usiwe mwoga! Utamshinda huyo maiti.Nafuu huyu anaye deal na gender balance kuliko yule aliyekuwa anashinda kurekodi maongezi ya simu za wastaafu na kulala kwenye mawe kama kenge
Hahhaha.. Unajaribu kulazimisha kitu ambacho hakipo!Hongera Mtaka na waandaaaji ule ujinga na ushamba wa uccm mavazi haupo ,naona umoja wa kitaifa kurejea kwa masuala ya kitaifa.Hongera Mama Samia kuliunganisha taifa.
Dictionary yangu imeazimwa, kwahiyo akija mwanaume naye apambanie wanaume?Samia ni feminist. But i dont care!
TeteteteteNafuu huyu anaye deal na gender balance kuliko yule aliyekuwa anashinda kurekodi maongezi ya simu za wastaafu na kulala kwenye mawe kama kenge
Labda nchi haina maendeleo sababu wanawake ni wachache serikaliniKwani matatizo ya wanawake nchi hii ni uongozi/teuzi ?
Sasa atateua kila mwanamke
wamependeza na papasi zao mdomoni kwa kweli sinaongeza kitu yaani ghafla midomo inakuwa mirefu kama nguruweRais wa Jamhuri Ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan anafanya mkutano na wanawake wa makao makuu ya nchi jijini Dodoma na kuzungumza na taifa...
We!NI Kiongozi wa NGO. Sense ya urais bado haijaingia kichwani.
Hata akifufuka anakufa tena, hatuna Jambo dogoBado tu Unapigana na maiti? Mpige kichwa! Mkate ngwala - Karibu utamshinda, jikaze usiwe mwoga! Utamshinda huyo maiti.
Mkuu inaonekana wewe ni mjuzi wa mengi. Kumbe upo usagaji mdogo na mkubwa.Ajitahidi akemee sana 'Usagaji' mkubwa.
Na mavazi hasa hizi suruali skin tight halafu zenye kuoyesha everything mbele na nyuma, hizo zingekuwa kwa mchana zinaenda na t shirt zenye kufunika the subject matterAjitahidi akemee sana 'Usagaji' mkubwa.
Na hela kagawa mbele ya kamera akizihesabuKeshaanza kupenda macamera tusitegemee chochote kwenye awamu ya huyu mama.
A COVID-19 spread event! Nendeni na wakati?Rais wa Jamhuri Ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan anafanya mkutano na wanawake wa makao makuu ya nchi jijini Dodoma na kuzungumza na taifa.
Mkuatano huu unafanyika leo tarehe 08/06/2021 katika ukumbi wa mikutano wa Jakaya Kikwete (Jakaya Kikwete Convention Center).
Muda mfupi kutoka sasa Rais anatarajia kuwasili. Mwanamke ni nguzo ya maendeleo.
Fuatilia hapa matangazo ya moja kwa moja
Huu ni ubaguzi wa kijinsia, lini atafanya na wanaume wote?
Mbunge wa nyang’wele alikuwepo? Polepole yuko wapi? Au yuko nursery school, looks like a 4 year kid.NIMEMUONA MDEE KWA RAHA ZAKE ANACHEZA TAARABU