Dodoma: Rais Samia anazindua Mkakati wa Uhamasishaji wa Sensa ya Watu na Makazi 2022

mkuu hivi nkitaka connection niwe mmoja mwa watu wa kupiga dili la kuwahesabu watu nilipwe na fanyaje?
 
Sesa ni Jambo la Muhimu sana, Watanzania wote tupo Tayari kuhesabiwa kwa maendeleo yetu.
 
Katiba mpya ni bora zaidi kuliko sensa,atulii sensa hali
 
Ngoswe akazama penzini kwa mtoto mazoea baba mkwe mzee mitomingi akamua kuchoma nyara za serikali.

Umenkumbusha mbali sana mkuu miaka hiyo.

Wahenga tuu ndio wanaelewa🤣🤣🤣🤣
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…