Idugunde
JF-Expert Member
- May 21, 2020
- 6,404
- 6,969
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan. Atawatunukia Kamisheni Maafisa wanafunzi wa Jeshi la Wananchi Tanzania. Viwanja vya Ikulu Chamwino Dodoma.
Matangazo yataanza saa nane kamili mchana leo tarehe 17 Aprili 2021.
====
Dar es Salaam. Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amewatunuku kamisheni maofisa wanafunzi 386 wa Jeshi la Wananchi Tanzania (JWTZ).
Kundi la kwanza la mwaka 2017 lilitunukiwa shahada ya sayansi ya kijeshi na kundi la pili namba 68 walitunukiwa kozi ya mwaka mmoja.
Hafla hiyo imefanyika leo Jumamosi Aprili 17,2021 Ikulu Chamwino jijini Dodoma.
Hii ni mara kwa kwanza kwa Samia kutunuku kamisheni tangu aapishwe kushika wadhifa huo Machi 19, 2021 kufuatia kifo cha rais wa awamu ya tano, hayati John Magufuli.
Mkuu wa Chuo cha Mafunzo ya Kijeshi Monduli, Brigedia Jenerali Jackson Mwaseba amesema kundi la kwanza lina askari 158 na wote ni Watanzania na kati yao wanaume ni 150 na wanawake wanane.
RAIS SAMIA KATIKA SHUGHULI ZA KUTUNUKU KAMISHENI MAAFISA WANAFUNZI WA JWTZ INAYIFANYIKA MUDA HUU CHAMWINO JIJINI DODOMA.
Matangazo yataanza saa nane kamili mchana leo tarehe 17 Aprili 2021.
====
Dar es Salaam. Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amewatunuku kamisheni maofisa wanafunzi 386 wa Jeshi la Wananchi Tanzania (JWTZ).
Kundi la kwanza la mwaka 2017 lilitunukiwa shahada ya sayansi ya kijeshi na kundi la pili namba 68 walitunukiwa kozi ya mwaka mmoja.
Hafla hiyo imefanyika leo Jumamosi Aprili 17,2021 Ikulu Chamwino jijini Dodoma.
Hii ni mara kwa kwanza kwa Samia kutunuku kamisheni tangu aapishwe kushika wadhifa huo Machi 19, 2021 kufuatia kifo cha rais wa awamu ya tano, hayati John Magufuli.
Mkuu wa Chuo cha Mafunzo ya Kijeshi Monduli, Brigedia Jenerali Jackson Mwaseba amesema kundi la kwanza lina askari 158 na wote ni Watanzania na kati yao wanaume ni 150 na wanawake wanane.
RAIS SAMIA KATIKA SHUGHULI ZA KUTUNUKU KAMISHENI MAAFISA WANAFUNZI WA JWTZ INAYIFANYIKA MUDA HUU CHAMWINO JIJINI DODOMA.