Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Uhasibu unayo uhusiano upi na sayansi ya jeshi ?Bila kusahau ni toleo la kwanza la maafsia waliosomea degrew ya sayansi ya jeshi inayotolewa kwa ushrikiano wa Chuo cha jeshi (TMA) na chuo cha uhasibu Arusha (IAA)
Daah mkuu umenichekesha, mpe tu elimu, watu hawaelewi, hivi vyeo vya inner circle.Ficha upumbavu wako
Usiongee vitu huvijui..
Afande Kilichobaki ni kujua Jina lako na Cheo ulichonacho huko.Na waliosomea Bachelor ya sayansi ya jeshi nao watakwepo, kozi hii hutolea kwa ushirikiano wa chuo cha jeshi na chuo cha uhasibu Arusha
View attachment 1754415
Hizi sio zama za kusifia mkuu,kaa kwa kutuliaMungu ibariki Tanzania Mungu mbariki rais wetu Samia Suluhu Hassan
Kazi iendelee
Mwambie bwana,wameanza kujipendekeza kwa Mh mama RaisNyi rais wenu kalala chato,uyu awahusu!!!!!
hao ni wasaidizi binafsi wa ofisi yake.....sio wa wizara..Akimaliza aje atueleze hawa wasaidizi aliowateua wanakazi gani kama mawaziri wapo,Masarani unaweka masaidizi wa maendeleo ya jamii,wakati kuna waziri wa kada hiyo,au msaidizi wa diplomasia,wakati una waziri wa mambo ya nje.
Kwa nchi kama USA,kuna mshaurj mmoja tu wa mambo ya usalama,na waziri wa ulinzi/defense secretary,hakuna mshauri wa mambo ya nje,wakati yupo foreign affairs secretary.
Kwahiyo huyu ni wa chadema?Nyi rais wenu kalala chato,uyu awahusu!!!!!
Thubutuuuu
Samia Suluhu Hassan anatuhusu tangu akiwa mgombea mwenza, makamu wa rais hadi sasa rais
Pelekeni unafki wenu ubelgiji kwa Tundu [emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
Pata fleva kidogo
Ofisi ya Rais Ina watu wa kumsaidia yeye au unadhani anakaa ofisi moja na mawaziri????? Ofisi yake inatakiwa kuwa na watendaji ndio hao uliowaona na wapo kisheria.Akimaliza aje atueleze hawa wasaidizi aliowateua wanakazi gani kama mawaziri wapo,Masarani unaweka masaidizi wa maendeleo ya jamii,wakati kuna waziri wa kada hiyo,au msaidizi wa diplomasia,wakati una waziri wa mambo ya nje.
Kwa nchi kama USA,kuna mshaurj mmoja tu wa mambo ya usalama,na waziri wa ulinzi/defense secretary,hakuna mshauri wa mambo ya nje,wakati yupo foreign affairs secretary.
hilo fipa linajaribu kujipendekeza kwa bimkubwa.
ndio yalikuwa yanaponda the late kuhamia chamwino,sijui kelele zimeishia wapi.maana mama nayeye kazurula weee,ndege imeenda kutua dom[emoji2298][emoji2298][emoji2298].
Kwa hili namuunga mkono mama endelea na mtindo huu. Hao Mawaziri wapotoshaji wanaotangaza nchi ni shwari kumbe kuna watu wamekamatwa kwa uonevu ndo awategemee kwa ushauri? Mama anajaribu kujitenga na Wanafiki kwa namna ya pekee. Mwanasheria wa Rais ana kazi yake na Marais wengi wanao, mshauri wa Siasa ni mtu muhimu serikalini maana ukimtegemea mbunge wa CCM akushauri jinsi ya kuvitendea vyama vya siasa unajua atakwambia nini kuhusu upinzani. Mama uko vizuri endelea.Akimaliza aje atueleze hawa wasaidizi aliowateua wanakazi gani kama mawaziri wapo,Masarani unaweka masaidizi wa maendeleo ya jamii,wakati kuna waziri wa kada hiyo,au msaidizi wa diplomasia,wakati una waziri wa mambo ya nje.
Kwa nchi kama USA,kuna mshaurj mmoja tu wa mambo ya usalama,na waziri wa ulinzi/defense secretary,hakuna mshauri wa mambo ya nje,wakati yupo foreign affairs secretary.
Njoo basi unitunuku hiyo mbele kwa mbeleMBELE KWA MBELE
Njoo basi unitunuku hiyo mbele kwa mbele
Hapa nimeshindwa kuunganisha uhusiano kati ya :Bila kusahau ni toleo la kwanza la maafsia waliosomea degrew ya sayansi ya jeshi inayotolewa kwa ushrikiano wa Chuo cha jeshi (TMA) na chuo cha uhasibu Arusha (IAA)
Si jaribu tu, uone kama anaweza au hawezi!Umeshindwa vitu vidogo hiyo utaiwezea wapi🙄🙄
Ukisoma kozi ya kijeshi haina maana kwamba kila kitu utasoma cha jeshini, kuna mpaka General studies unasoma, utawala, communication skills, finance, Sheria za Nchi na mambo mengine mengi tu.Hapa nimeshindwa kuunganisha uhusiano kati ya :
"Digrii ya sayansi ya jeshi," na "Chuo cha uhasibu Arusha (IAA)"!