Dodoma: Rais Samia awatunuku Kamisheni Maofisa wa JWTZ

Dodoma: Rais Samia awatunuku Kamisheni Maofisa wa JWTZ

Kwa hio kama Tanzania sio Taifa la Kiislamu ndio ifanye watu wake hawana akili hata ya kufikiria, mbona mnapobanwa kabari na rona mnamtaja Mungu, nyinyi ndio wale watu mliopewa baraka na Mungu kisha mkarudia maasi, eti Taifa sio la kiislamu, unakubali kuwa uislamu ndio pekee wenye maadili mazuri.

Msemo wetu wa kiluga unatwambia Heshima kitu cha bure. Unaniambia kuwa pale majeshi walishindwa kumheshimu Raisi, walikosa heshima, hawaelewi kama Raisi wao ni Muislamu na yupo kwenye funga.
Hujielewi, hayo mambo ya uislamu kuwa mzuri unajisemea mwenyewe kwa huu ubovu wako wa kufikiri, badala ya kupoteza muda kuelekeza lawama pasipostahili mlaumu huyo aliejua amefunga halafu akaenda kwenye hayo mahafali bila kuulizia utaratibu, na huu u-secretary wake sijui umepewa na nani.
 
Mimi kama Muislamu nalaani kitendo cha kuekewa ngoma za ajabu Raisi Samia Suluhu Bin Hassan wakati huu wa mfungo wa mwezi mtukufu wa ramadhani,
You have a rabid mind! Unafikiria rubbishes in your mind....
 
Mmefunga nyie waislamu

Wakristo, wapagani hawajafunga

Msilazimishe watu kushiriki taratibu zenu
 
Ulichosema ni kwel lakin umesahau kuwa yalikuwa mahafali ya kijeshi na jeshi halina dini
 
Kwa hio kama Tanzania sio Taifa la Kiislamu ndio ifanye watu wake hawana akili hata ya kufikiria, mbona mnapobanwa kabari na rona mnamtaja Mungu, nyinyi ndio wale watu mliopewa baraka na Mungu kisha mkarudia maasi, eti Taifa sio la kiislamu, unakubali kuwa uislamu ndio pekee wenye maadili mazuri.

Msemo wetu wa kiluga unatwambia Heshima kitu cha bure. Unaniambia kuwa pale majeshi walishindwa kumheshimu Raisi, walikosa heshima, hawaelewi kama Raisi wao ni Muislamu na yupo kwenye funga.
Acha udini wewe..kila kitu unawaza Dini. Dini ni vikundi vya Watu wanaofuata kitu wasichokijua.
 
Kwa hio kama Tanzania sio Taifa la Kiislamu ndio ifanye watu wake hawana akili hata ya kufikiria, mbona mnapobanwa kabari na rona mnamtaja Mungu, nyinyi ndio wale watu mliopewa baraka na Mungu kisha mkarudia maasi, eti Taifa sio la kiislamu, unakubali kuwa uislamu ndio pekee wenye maadili mazuri.

Msemo wetu wa kiluga unatwambia Heshima kitu cha bure. Unaniambia kuwa pale majeshi walishindwa kumheshimu Raisi, walikosa heshima, hawaelewi kama Raisi wao ni Muislamu na yupo kwenye funga.
Kama raisi amefunga ni yeye binafsi

Sio Tanzania nzima imefunga au jeshi limefunga

Muwe mna akili basi ndugu zetu waislamu
 
Ila kuna watoto wa kama 854 wa kujitolea JKT "waliasi" Jeshi[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

CDF kawataja leo. Dah Ingekua nyakati nyingine jela ilikua inawahusu sio kusitishiwa mikataba tu

NB:
Mgomo/Maandamano/kutotii amri jeshini ni UASI
Hao Vijana Kama Walikuwa na Uwezo Wa Kupanga na Kufanya Uasi ndani ya Jeshi ts means intelijensia ya Jeshi Haina Uwezo Wa Kugundua Hivi Vitu na Kuzima Hizi Harakati za Hawa Vijana Mapema?

Haya wanaondolewa Jeshini na Wana kila Aina ya Mafunzo Je Wakiwa uraiani Watafuatiliwaje Ili wasifanye Madhara Yoyote Kwa Wananchi au Wanaweza Kujiunga Hata na Magenge Ya Ualifu. Je wataachwa kiholela bila Kufuatiliwa Serikali ikajua wanafanya nn?
 
Marais wote wanne waliomtangulia JPM hawajawahi kutolea kamisheni za JWTZ Ikulu. Kama utakumbuka kuwatoa kwenye eneo lao la kambi ya mafunzo kwaajili ya kamisheni kwa "Officer Cadets" alianzia kutolea Uwanja wa Sheikh Amri Abeid - Arusha, ambapo alichanganya na hafla moja ya Chama Cha Mapinduzi, CCM. Ilileta mjadala, na baadaye tukaona Ikulu. Najua kwamba haina ubaya, lakini utamaduni wa kijeshi uko hivyo, kwa sababu wakati wa tukio hilo la Pass out au hiyo "graduation", kunakua na Askari na Makamanda wengine pamoja na raia na familia za hao askari, wanaotakiwa kushuhudia, kama ilivyo katika Graduations za vyuo vingine. Lakini kwa mazingira ya Ikulu nadhani changamoto ya space and other protocols inakua ni kikwazo. Kama umewahi kuhudhuria Pass out za majeshi, iwe hili la JWTZ au POLICE, utaweza kunielewa.

Sent using Jamii Forums mobile app

si kila sababu itaandikwa hapa,mengine yaacheni tu yawapite.
 
Nina wasiwasi na alieandaa sherehe zile na kuweka ngoma waliyodai inatokea Pemba, uchezaji wa ngoma hio sio uchezaji asilia wa hio ngoma, nia yao ni kutaka kupima upepo kulinganisha na lile tukio la Uhuru kenyata kwenye maziko ya Bana Yule. Waislamu watasema nini kwa hili ?

Mimi kama Muislamu nalaani kitendo cha kuekewa ngoma za ajabu Raisi Samia Suluhu Bin Hassan wakati huu wa mfungo wa mwezi mtukufu wa ramadhani, waandaaji mnahitajika kumuomba samahani Raisi na waTanzania wote kwa ujumla. Mmemuaibisha Rais na kumpa mtihani .

Hivi hamkujua kama Raisi yupo kwenye funga, na huu ni mwezi mtukufu kwa jamii yetu ya kiislamu jamii ambayo inaunda Tanzania.
Serikali ya Tanzania ni ya kisekulari. Dini anayo mtu. Kwahiyo Serikali haiwezi kupanga taratibu zake kwa kuangalia dini ya mtu hata kama ni Rais. Mkiona anakwazika kiimani, mwambieni ajiuzulu!!
 
Nina wasiwasi na alieandaa sherehe zile na kuweka ngoma waliyodai inatokea Pemba, uchezaji wa ngoma hio sio uchezaji asilia wa hio ngoma, nia yao ni kutaka kupima upepo kulinganisha na lile tukio la Uhuru kenyata kwenye maziko ya Bana Yule. Waislamu watasema nini kwa hili ?

Mimi kama Muislamu nalaani kitendo cha kuekewa ngoma za ajabu Raisi Samia Suluhu Bin Hassan wakati huu wa mfungo wa mwezi mtukufu wa ramadhani, waandaaji mnahitajika kumuomba samahani Raisi na waTanzania wote kwa ujumla. Mmemuaibisha Rais na kumpa mtihani .

Hivi hamkujua kama Raisi yupo kwenye funga, na huu ni mwezi mtukufu kwa jamii yetu ya kiislamu jamii ambayo inaunda Tanzania.
Cc dmkali
 
Hili sio Taifa la kidini
Nina wasiwasi na alieandaa sherehe zile na kuweka ngoma waliyodai inatokea Pemba, uchezaji wa ngoma hio sio uchezaji asilia wa hio ngoma, nia yao ni kutaka kupima upepo kulinganisha na lile tukio la Uhuru kenyata kwenye maziko ya Bana Yule. Waislamu watasema nini kwa hili ?

Mimi kama Muislamu nalaani kitendo cha kuekewa ngoma za ajabu Raisi Samia Suluhu Bin Hassan wakati huu wa mfungo wa mwezi mtukufu wa ramadhani, waandaaji mnahitajika kumuomba samahani Raisi na waTanzania wote kwa ujumla. Mmemuaibisha Rais na kumpa mtihani .

Hivi hamkujua kama Raisi yupo kwenye funga, na huu ni mwezi mtukufu kwa jamii yetu ya kiislamu jamii ambayo inaunda Tanzania.
 
IAA ndio wameshirikiana na TMA kuandaa huu mtaala pamoja na kufundisha toka mwaka 2017

Jeshi lenyewe linajiandaa pamoja na kukamilisha taratibu ili liweze kutoa hii degree bila kushirikiana na chuo cha kiraia kuanzia mwaka 2024

Pia kuna Degree ya Polis kurasini kule sijui inaitwaje wanashirikiana na UDSM

Na katika shule nyingine za kijeshi kuna Diploma na vyeti wanashirikiana na DIT na vyuo vingine(Mtaala wa NACTE)

Nadhani ni katika mipango ya Ku"modernise" majeshi
Maelezo mazuri mkuu.

Tukiendelea hivi JF itakuwa na manufaa zaidi kwa wengi.

Na ili ieleweke vizuri zaidi, pamoja na IAA kushirikiana na TMA kuandaa mtaala (pamoja na kufundisha?); huo mtaala unahusu masomo ya "Military Science" na siyo ya uhasibu, au siyo?

Bado ninatatizwa kidogo na uhusiano wa masomo ya kijeshi na Uhasibu.

Ninaelewa vyema sana kuwepo kwa uhitaji kijeshi kwa baadhi ya masomo ya kiuhasibu, lakini mtaala ambao sehemu kubwa ni uhasibu kwa masomo ya kijeshi, hapo ninatatizwa.

Labda itabidi tutafute ni kipi hasa kinachofahamika kuwa "Military Science", ikilazimu tutafanya hivyo.
 
Maelezo mazuri mkuu.

Tukiendelea hivi JF itakuwa na manufaa zaidi kwa wengi.

Na ili ieleweke vizuri zaidi, pamoja na IAA kushirikiana na TMA kuandaa mtaala (pamoja na kufundisha?); huo mtaala unahusu masomo ya "Military Science" na siyo ya uhasibu, au siyo?

Bado ninatatizwa kidogo na uhusiano wa masomo ya kijeshi na Uhasibu.

Ninaelewa vyema sana kuwepo kwa uhitaji kijeshi kwa baadhi ya masomo ya kiuhasibu, lakini mtaala ambao sehemu kubwa ni uhasibu kwa masomo ya kijeshi, hapo ninatatizwa.

Labda itabidi tutafute ni kipi hasa kinachofahamika kuwa "Military Science", ikilazimu tutafanya hivyo.
Naomba nikueleze kitu kimoja ambacho kimebadilika sana kwenye vyuo vingi sana nchini
IFM,TIA,IAA vilikua ni vyuo vya uhasibu zaidi ila sasa hivi wanatoa digrii nyingine nyingi pia tofauti na uhasibu japokua wamejikita zaidi kwenye uhasibu

Hata SUA chenyewe tunachojua ni cha kilimo kina degree nyingine hata hazihusiani na kilimo/ufugaji

Sasa kwa jinsi ninavyodhani mimi(Sina uhakika)
1. Kwanza walichukulia kutafuta partner ambaye yuko karibu kieneo(Geographically) kwahiyo wakajikuta na IAA tu pale Arusha

2. Nadhani pia katika kuandaa modules sana sana watakua na sheria humo, DS ,Utawala,ICT, Hesabu,Lugha nk nk na hawa wakufunzi wanapatikana IAA(kwakua kuna haya masomo pale)

3. Wakufunzi wa TMA wenyewe wanabakia kukazia katika masomo yao ya medani kama Commanding/Leadership, Shooting,navigation, endurance no nk(Hapa nadhani na hawa wakufunzi pia walikula semina za kiraia/Za kule NDC au hata nje nchi) ili kuwa na kiwango cha kutoa hadhi ya BSc

Sidhani kwa vyovyote vile kama inahusiana na Uhasibu hata kidogo(Chuo cha Uhasibu kimabaki jina tu)

Nje ya mada: Hata mkuu wa chuo cha IAA yule Sedo aliyeongea jana pale Chamwino na ndio amesifiwa kwa kukibadilisha sana hiki chuo sio Muhasibu hata kidogo. Nimesoma nae Computer Science miaka mingi iliyopiata(Advance Diploma) na mpaka kaenda nje kufanya PhD ya IT ila ndo mkuu wa chuo cha "Uhasibu"

Kuna jamaa humu alisoma Bsc Military Science Pretoria ngoja nimuombe aje kabla sijamtag atuambie
 
Back
Top Bottom