Dodoma: Rais Samia awatunuku Kamisheni Maofisa wa JWTZ

Dodoma: Rais Samia awatunuku Kamisheni Maofisa wa JWTZ

Ukisoma kozi ya kijeshi haina maana kwamba kila kitu utasoma cha jeshini, kuna mpaka General studies unasoma, utawala, communication skills, finance, Sheria za Nchi na mambo mengine mengi tu.
Mkuu, hilo ninalifahamu vizuri sana.

Lakini "core specialization" ni "Military Science" ambayo haina lolote na uhasibu.

Nionavyo mimi, hawa Uhasibu ni wafadhiri tu wa Mahafali hayo, na hawahusiki kivyovyote katika mafunzo hayo ya digrii ya "Military Science".
 
Mkuu, hilo ninalifahamu vizuri sana.

Lakini "core specialization" ni "Military Science" ambayo haina lolote na uhasibu.

Nionavyo mimi, hawa Uhasibu ni wafadhiri tu wa Mahafali hayo, na hawahusiki kivyovyote katika mafunzo hayo ya digrii ya "Military Science".
Sasa kama unajua military science ina compose nini hapa ulikuja kuuliza nini?
Watu wengine bhn

We uliona wapi composition ya degree ikafanana mwanzo mwisho?
Degree sini mchanganyiko wa kozi kibao, sasa zile za taaluma husika sindo zinakuwa core courses?

Jeshi linaanzaje kufadhiliwa na chuo sasa? Unahisi halina bajeti ya kuendesha hiyo kozi au?
IAA wamesaidia kufundisha kozi za kiraia tu hizo nilizokutajia, na hii iko sehemu nyingi hata Police science iko ivo

Ene wei we endelea kujua ujuavyo maana JF kila kitu watu wanajua hata wasiyoyajua[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Bila kusahau ni toleo la kwanza la maafsia waliosomea degrew ya sayansi ya jeshi inayotolewa kwa ushrikiano wa Chuo cha jeshi (TMA) na chuo cha uhasibu Arusha (IAA)
Hili la kutolea kamisheni Ikulu aachane nalo. Kamisheni za JWTZ hutolewa eneo la mafunzo. Baadaye hata degrees zitaanza kutolewa Ikulu. Hili ni Jeshi, halitakiwi kuletwa sana uraiani. Aliyepita alipinduapindua mambo, lakini si utaratibu.
 
Hili la kutolea kamisheni Ikulu aachane nalo. Kamisheni za JWTZ hutolewa eneo la mafunzo. Baadaye hata degrees zitaanza kutolewa Ikulu. Hili ni Jeshi, halitakiwi kuletwa sana uraiani. Aliyepita alipinduapindua mambo, lakini si utaratibu.

wenzako wanajeshi wanajua kwamba popote ndani ya mpaka wa tz wanaweza kupewa kamisheni zao,ilimradi anayewasomea awe ji rais tu.sheria ya kijeshi inaitambua ikulu kama moja ya kambi zake.

wacha siasa na mambo usiyo yajua.
 
Mtani wangu, Sasa naona umeanza kuwa vizuri barikiwa mkuu, japo jana umenikimbia mkuu
 
Nilipomaliza chuo nilitamani sana kuwa askari wa JWTZ sema tu haikuwa bahati yangu. Mungu hakupanga niwe askari.
Sidhani kama Mungu ndiye anapanga nani awe nani. Mungu anakupa uwezo na akili na wewe unavitumia kuwa fulani. BTW ni bora hukuenda kwani jeshini kwa mtu unayetaka uhuru siyo sehemu sahihi. Na hapa nazungumzia kuanzia ngazi ya chini mpaka juu pengine uondoa hao majenerali tu. Ni sehemu mbaya sana lakini ukiwa nje ya kambi huwezi kujua.
 
wenzako wanajeshi wanajua kwamba popote ndani ya mpaka wa tz wanaweza kupewa kamisheni zao,ilimradi anayewasomea awe ji rais tu.sheria ya kijeshi inaitambua ikulu kama moja ya kambi zake.

wacha siasa na mambo usiyo yajua.
Marais wote wanne waliomtangulia JPM hawajawahi kutolea kamisheni za JWTZ Ikulu. Kama utakumbuka kuwatoa kwenye eneo lao la kambi ya mafunzo kwaajili ya kamisheni kwa "Officer Cadets" alianzia kutolea Uwanja wa Sheikh Amri Abeid - Arusha, ambapo alichanganya na hafla moja ya Chama Cha Mapinduzi, CCM. Ilileta mjadala, na baadaye tukaona Ikulu. Najua kwamba haina ubaya, lakini utamaduni wa kijeshi uko hivyo, kwa sababu wakati wa tukio hilo la Pass out au hiyo "graduation", kunakua na Askari na Makamanda wengine pamoja na raia na familia za hao askari, wanaotakiwa kushuhudia, kama ilivyo katika Graduations za vyuo vingine. Lakini kwa mazingira ya Ikulu nadhani changamoto ya space and other protocols inakua ni kikwazo. Kama umewahi kuhudhuria Pass out za majeshi, iwe hili la JWTZ au POLICE, utaweza kunielewa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Safi sana walichekeweshwa kula nyota zao ....maana miezi 6 wanatakiwa wawe luteni faster ......safi hongera watunukiwa wote wengine watoka nje sadcc pia ....wawe deployed makambini wakalinde taifa....jambo askari
 
Sasa kama unajua military science ina compose nini hapa ulikuja kuuliza nini?
Watu wengine bhn

We uliona wapi composition ya degree ikafanana mwanzo mwisho?
Degree sini mchanganyiko wa kozi kibao, sasa zile za taaluma husika sindo zinakuwa core courses?

Jeshi linaanzaje kufadhiliwa na chuo sasa? Unahisi halina bajeti ya kuendesha hiyo kozi au?
IAA wamesaidia kufundisha kozi za kiraia tu hizo nilizokutajia, na hii iko sehemu nyingi hata Police science iko ivo

Ene wei we endelea kujua ujuavyo maana JF kila kitu watu wanajua hata wasiyoyajua[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Yani acha kabisa [emoji16][emoji16] anakataa na haelewi chochote
 
Sasa kama unajua military science ina compose nini hapa ulikuja kuuliza nini?
Watu wengine bhn

We uliona wapi composition ya degree ikafanana mwanzo mwisho?
Degree sini mchanganyiko wa kozi kibao, sasa zile za taaluma husika sindo zinakuwa core courses?

Jeshi linaanzaje kufadhiliwa na chuo sasa? Unahisi halina bajeti ya kuendesha hiyo kozi au?
IAA wamesaidia kufundisha kozi za kiraia tu hizo nilizokutajia, na hii iko sehemu nyingi hata Police science iko ivo

Ene wei we endelea kujua ujuavyo maana JF kila kitu watu wanajua hata wasiyoyajua[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Aisee, bado huelewi tu?

Chuo cha uhasibu, hata kama wangeofa somo la 'uhasibu' ni insignificant kabisa katika mchango wa 'Military Science' kiasi cha kuisema kuwa kwa "Ushirikiano na..."
Somo la uhasibu haliwezi kuwa matakwa (required) katika digrii ya military Sience hata siku moja; kama isivyowezekana kwa masomo ya kwa mfano Udaktari kuwa matakwa ya "Military Sayansi".

Wakitaka madaktari, jeshi litapeleka watu wao wenye sifa kusomea mambo hayo chuo stahiki, na wala Muhimbili kwa mfano wakatoe mafunzo ya udaktari kwenye kozi ya "Military Science".
 
Back
Top Bottom