Dodoma: Rais Samia awatunuku Kamisheni Maofisa wa JWTZ

Dodoma: Rais Samia awatunuku Kamisheni Maofisa wa JWTZ

Akimaliza aje atueleze hawa wasaidizi aliowateua wanakazi gani kama mawaziri wapo,Masarani unaweka masaidizi wa maendeleo ya jamii,wakati kuna waziri wa kada hiyo,au msaidizi wa diplomasia,wakati una waziri wa mambo ya nje...
Mama anajua anachokifanya na mpaka sasa yupo sahihi. Hii ni awamu inayotumia akili na sio nguvu, na nivigumu kuona ziletumbuatumbua au fukuza na vurugu zingine badala yake hapa utaona mabadiliko tu kwenye matokeo.

Nazani kwa sasa hatuna Baraza la mawaziri kivuli, sasa sio mbaya kama tukaunda baraza kamili ili tuendelee kuwa na Baraza kivuli.

Jamani samahanini hata sijui nilichokiandika nahisi hii 40 imenichanganya
 
Akimaliza aje atueleze hawa wasaidizi aliowateua wanakazi gani kama mawaziri wapo,Masarani unaweka masaidizi wa maendeleo ya jamii,wakati kuna waziri wa kada hiyo,au msaidizi wa diplomasia,wakati una waziri wa mambo ya nje.
Kwa nchi kama USA,kuna mshaurj mmoja tu wa mambo ya usalama,na waziri wa ulinzi/defense secretary,hakuna mshauri wa mambo ya nje,wakati yupo foreign affairs secretary.
Duuh!
 
Akimaliza aje atueleze hawa wasaidizi aliowateua wanakazi gani kama mawaziri wapo,Masarani unaweka masaidizi wa maendeleo ya jamii,wakati kuna waziri wa kada hiyo,au msaidizi wa diplomasia,wakati una waziri wa mambo ya nje.
Kwa nchi kama USA,kuna mshaurj mmoja tu wa mambo ya usalama,na waziri wa ulinzi/defense secretary,hakuna mshauri wa mambo ya nje,wakati yupo foreign affairs secretary.
Duh Mkuu, mbona jambo la kawaida. Vyeo vilikuwepo. Kumbuka Mpango alikuwa msaidizi wa Rais Kikwete masuala ya Uchumi, RC Shigella alikuwa msaidizi wa Rais Kikwete masuala ya siasa
 
Bila kusahau ni toleo la kwanza la maafsia waliosomea degrew ya sayansi ya jeshi inayotolewa kwa ushrikiano wa Chuo cha jeshi (TMA) na chuo cha uhasibu Arusha (IAA)
Wako kada ya Afya
 
Mchukulue poa tu ni watoto wa mwa 2000 saizi wanatamba na tecno mtaani na infinix basi tabu tu
 
Hii kazi miaka yote ilikuwa infanyika pale chuoni Monduli. Ila Magufuli kwa kuchukia kanda ya kaskazini akahamishia ikulu. Chuki ni mbaya sana ndugu zangu unawezw kuchukia hata sehemu ya mwili wako. Ni lini shahada inatolewa ikulu badala ya chuoni alikosomea mwanafunzi? Bora ameenda zake amegawa sana nchi.
 
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Samia Suluhu Hassan. Atawatunukia Kamisheni Maafisa wanafunzi wa Jeshi la Wananchi Tanzania. Viwanja vya Ikulu Chamwino Dodoma

Matangazo yataanza saa nane kamili mchana leo tarehe 17 Aprili 2021.
Angekuwa Jiwe angetujia amevaa minguo ya jeshi yani full mikwara mikwara na ubabe ubabe wa kijinga!
Anatunuku tarehe ambayo mwezi uliopita ni mida ya saa tano usiku nilibadili rasmi ratiba yangu ya maisha na kwa hakika siku hiyo ilikuwa siku kubawa sana kwangu!

Naahidi kuwa wakati anatunuku kamisheni nitakuwa namsindikiza taratiiib kwa gambe na choma la ukweli.
 
Angekuwa Jiwe angetujia amevaa minguo ya jeshi yani full mikwara mikwara na ubabe ubabe wa kijinga!
Anatunuku tarehe ambayo mwezi uliopita ni mida ya saa tano usiku nilibadili rasmi ratiba yangu ya maisha na kwa hakika siku hiyo ilikuwa siku kubawa sana kwangu!

Naahidi kuwa wakati anatunuku kamisheni nitakuwa namsindikiza taratiiib kwa gambe na choma la ukweli.
Shame on you.
 
Hawa maafisa wataandamana na baraka maana wamewekewa mikono yenye heri.
 
Back
Top Bottom