Dodoma: Rais Samia awatunuku Kamisheni Maofisa wa JWTZ

Dodoma: Rais Samia awatunuku Kamisheni Maofisa wa JWTZ

wenzako wanajeshi wanajua kwamba popote ndani ya mpaka wa tz wanaweza kupewa kamisheni zao,ilimradi anayewasomea awe ji rais tu.sheria ya kijeshi inaitambua ikulu kama moja ya kambi zake.

wacha siasa na mambo usiyo yajua.
Good
 
Aisee, bado huelewi tu?

Chuo cha uhasibu, hata kama wangeofa somo la 'uhasibu' ni insignificant kabisa katika mchango wa 'Military Science' kiasi cha kuisema kuwa kwa "Ushirikiano na..."
Somo la uhasibu haliwezi kuwa matakwa (required) katika digrii ya military Sience hata siku moja; kama isivyowezekana kwa masomo ya kwa mfano Udaktari kuwa matakwa ya "Military Sayansi".

Wakitaka madaktari, jeshi litapeleka watu wao wenye sifa kusomea mambo hayo chuo stahiki, na wala Muhimbili kwa mfano wakatoe mafunzo ya udaktari kwenye kozi ya "Military Science".
Una buku hapo nikanunue fegi?
Naona unanichosha tu mbishi alaf haujui ilimradi uonekane unabishana na watu
 
Una buku hapo nikanunue fegi?
Naona unanichosha tu mbishi alaf haujui ilimradi uonekane unabishana na watu
Eeenh Heee,

Mkuu, uzuri hatujuani humu, kila mtu anapiga kivyake. Wewe kuhitimisha kuwa sijui, ina maana wewe unajua?

Umekaa kwenye hivyo vyuo muda gani mkuu? Ni 'curriculi' ngapi ulishazitengeneza na kuzitekeleza?
 
Eeenh Heee,

Mkuu, uzuri hatujuani humu, kila mtu anapiga kivyake. Wewe kuhitimisha kuwa sijui, ina maana wewe unajua?

Umekaa kwenye hivyo vyuo muda gani mkuu? Ni 'curriculi' ngapi ulishazitengeneza na kuzitekeleza?
IAA ndio wameshirikiana na TMA kuandaa huu mtaala pamoja na kufundisha toka mwaka 2017

Jeshi lenyewe linajiandaa pamoja na kukamilisha taratibu ili liweze kutoa hii degree bila kushirikiana na chuo cha kiraia kuanzia mwaka 2024

Pia kuna Degree ya Polis kurasini kule sijui inaitwaje wanashirikiana na UDSM

Na katika shule nyingine za kijeshi kuna Diploma na vyeti wanashirikiana na DIT na vyuo vingine(Mtaala wa NACTE)

Nadhani ni katika mipango ya Ku"modernise" majeshi
 
Ila kuna watoto wa kama 854 wa kujitolea JKT "waliasi" Jeshi😂😂😂😂

CDF kawataja leo. Dah Ingekua nyakati nyingine jela ilikua inawahusu sio kusitishiwa mikataba tu

NB:
Mgomo/Maandamano/kutotii amri jeshini ni UASI
 
Akimaliza aje atueleze hawa wasaidizi aliowateua wanakazi gani kama mawaziri wapo,Masarani unaweka masaidizi wa maendeleo ya jamii,wakati kuna waziri wa kada hiyo,au msaidizi wa diplomasia,wakati una waziri wa mambo ya nje.

Kwa nchi kama USA,kuna mshaurj mmoja tu wa mambo ya usalama,na waziri wa ulinzi/defense secretary,hakuna mshauri wa mambo ya nje,wakati yupo foreign affairs secretary.

Hapa ni Tanzania na sio Marekani sio kuiga kila kitu; our environment is different!!
 
Nina wasiwasi na alieandaa sherehe zile na kuweka ngoma waliyodai inatokea Pemba, uchezaji wa ngoma hio sio uchezaji asilia wa hio ngoma, nia yao ni kutaka kupima upepo kulinganisha na lile tukio la Uhuru kenyata kwenye maziko ya Bana Yule. Waislamu watasema nini kwa hili ?

Mimi kama Muislamu nalaani kitendo cha kuekewa ngoma za ajabu Raisi Samia Suluhu Bin Hassan wakati huu wa mfungo wa mwezi mtukufu wa ramadhani, waandaaji mnahitajika kumuomba samahani Raisi na waTanzania wote kwa ujumla. Mmemuaibisha Rais na kumpa mtihani .

Hivi hamkujua kama Raisi yupo kwenye funga, na huu ni mwezi mtukufu kwa jamii yetu ya kiislamu jamii ambayo inaunda Tanzania.
 
Viereje hahahaha ndi vi nini hivyo au vileja vya kutafuna vile
 
Tanzania sio taifa la kiislamu, mambo yenu yasiingilie uhuru wa wengine pia, kama vipi angeulizia ratiba ya matukio apewe akiona ngoma ipo aitoe, but she did not.
Kwa hio kama Tanzania sio Taifa la Kiislamu ndio ifanye watu wake hawana akili hata ya kufikiria, mbona mnapobanwa kabari na rona mnamtaja Mungu, nyinyi ndio wale watu mliopewa baraka na Mungu kisha mkarudia maasi, eti Taifa sio la kiislamu, unakubali kuwa uislamu ndio pekee wenye maadili mazuri.

Msemo wetu wa kiluga unatwambia Heshima kitu cha bure. Unaniambia kuwa pale majeshi walishindwa kumheshimu Raisi, walikosa heshima, hawaelewi kama Raisi wao ni Muislamu na yupo kwenye funga.
 
Kwa hio kama Tanzania sio Taifa la Kiislamu ndio ifanye watu wake hawana akili hata ya kufikiria,mbona mnapobanwa kabari na rona mnamtaja Mungu,nyinyi ndio wale watu mliopewa baraka na Mungu kisha mkarudia maasi,eti Taifa sio la kiislamu,unakubali kuwa uislamu ndio pekee wenye maadili mazuri.

Msemo wetu wa kiluga unatwambia Heshima kitu cha bure. Unaniambia kuwa pale majeshi walishindwa kumheshimu Raisi,walikosa heshima,hawaelewi kama Raisi wao ni Muislamu na yupo kwenye funga.
Funga ni yake sio ya Watanzania. Nadhani analijua hilo ndio maana akakubali kuwa Rais. Usituletee mambo ya Udini hapa
 
Ukishakua Rais Kuna Mambo lazima uyapokee
Rais alikua kazini pale
 
Kwa hio kama Tanzania sio Taifa la Kiislamu ndio ifanye watu wake hawana akili hata ya kufikiria,mbona mnapobanwa kabari na rona mnamtaja Mungu,nyinyi ndio wale watu mliopewa baraka na Mungu kisha mkarudia maasi,eti Taifa sio la kiislamu,unakubali kuwa uislamu ndio pekee wenye maadili mazuri.

Msemo wetu wa kiluga unatwambia Heshima kitu cha bure. Unaniambia kuwa pale majeshi walishindwa kumheshimu Raisi,walikosa heshima,hawaelewi kama Raisi wao ni Muislamu na yupo kwenye funga.
Andiko lako lina hoja inaonekana, lakini kwa nini ngoma hiyo iwe haramu kwa Muislamu wakati wa mfungo pekee na halali kabla na baada ya mfungo?
 
Back
Top Bottom