DODOMA: Rais Samia kuunda Kamati Maalumu kufuatilia mwendo wa Majeshi yote nchini

Nalia na Ramadhani Kingai kuwa DCI, alienda kujisaidia mara tatu kila akiulizwa na Jaji swali gumu la GPO.
 
Si kama kile kikosa kazi nacho ni ulaji tupu na wakati kuna maoni/rasmu ya Warioba yapo wazi
Tatizo mfano wa jeshi la police tz, ni katika kutumia SHERIA za mkoloni, sasa WENDA tokana na SHERIA hizi Kuna asilimia kubwa hata Katika mwongozo wao kwenye vyuo vyao imejikita huko, Sasa unatengenezaje, au weka Mambo sawa bila KATIBA MPYA, haiwezekani, ni lazima kukubali kwamba katiba ni sasa.

Mfano hona watu ambavyo hawaelewi uteuzi huu, na mimi nikiwemo, maana yake haki ndani ya taifa hakuna,
Na niseme hata sio wote ndani yao kwa wao wamependa,wanapenda ichi kimetokea, ila sasa ndo hivyo katiba imetoa ufalme kwa Rais wa nchi hii, sasa umafikaje huko bila Katiba.

Kwamba unaunda tume bila katiba Ayo ma SHERIA mengine unayarekebiasha vipi pitia Bunge, kwangu naona ni changa la macho, huwezi penda matunda wakati mti hutaki tengeneza, ila yapo yaliyo moyoni kati ya tz na Mungu ni makubwa Sana, nilisema, niliandika hum JF enzi za Mwendazake, wengi hawakuelewa, ila hatuna makanisa na sio wachungaji Mungu ananena makubwa na wateule wake, Mungu ibariki Tz.
 
Mimi ningependekeza iundwe Joint Service Unit(JSU) itakayohusisha vyombo vyote vya ulinzi na usalama jw,Polisi,Tiss,Magereza,Takukuru,Immigration,Jeshi la zima moto na uokoaji na Taasisi ya kuzuia na kupambana na dawa za kulevya kazi iwe kuratibu na kukusanya taarifa kwa siri kuhusiana na utendaji kazi na nidhamu ya vyombo vya ulinzi na usalama na haki ya Watanzania
Nawasilisha
 
Ni mambo ya hovyo sn
 
CCM inatawala kwa kutegemea majeshi..hakuna kitu kitafanyika
 
kama amepata baraka za wakubwa atende... kama anafanya kwa utashi wake asithubutu
 
Majeshi yote ya invest kwenye High-Technology
Hili ni la msingi, lakini juhudi zielekezwe kumiliki technolojia zetu kwanza. Yaani mfano tuwe na "Ant Virus made in Tanzania", tuwe na robots na IoTs zinazo endeshwa na mifumo yetu tunayoimiliki.

Vinginevyo, naunga Mkono hoja yako.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…