Dodoma: Serikali yasitisha mradi wa ujenzi wa barabara ya mzunguko wa kati unaopita kata ya Nkuhungu

Dodoma: Serikali yasitisha mradi wa ujenzi wa barabara ya mzunguko wa kati unaopita kata ya Nkuhungu

Kama sikosei pesa za mradi huu zilitolewa na ADB. Acha tuongoje mengine kama uwanja wa ndege mkubwa na uwanja wa mpira ile zawadi ya mtoto wa mfalme wa Morocco.
 
population ya dodoma Ahihitaji ring roads,wakajifunze #zimbabwe
Watu huwa wanatizama mbali miaka hata mia mbili mbele huko.

Magufuli alikuwa anatambua kwamba baada ya miaka kadhaa, dodoma itafurika watu.

Ndio maana akaanza kuandaa miundombinu ya kimkakati ili wakati ukifika, watu wasianze kuzubaa zubaa na kutaabika ili shughuli za uchumi ziende haraka haraka na kwa wepesi.

Hiyo inaitwa akili ya kutizama mbali, yaani maono. Na sio kila mtu anaweza kuwa na akili ya aina hiyo hususani watu goigoi kama wewe mnaoishi kwa ujanja ujanja na utapeli wa kisiasa.

Nyinyi magoigoi kwa jinsi mlivyo na akili ya kutawaza mavi tu, mkipewa mlijenge hilo jiji la dodoma, mawazo yote yapo kwenye kuiba pesa za saruji na nondo ili mkanunue mishkaki na magari.

Nchi inayoongozwa na wanuka mikojo wasio na maono mapana ya muda mrefu itaishia kuwa ya ajabu ajabu tu.

Kwa mfano wewe, huna unalolijua zaidi ya kusubiri kuiba nondo na kula machips.

Unakula kula tu machips ya hovyo hovyo!
 
Serikali ya awamu ya tano ya Hayati Magufuli twajua iliasisi miradi mingi ktk maeneo mbalimbali ya nchi,mfano bwawa la mwal. Nyerere,reli ya mwendo Kasi (SGR) ,barabara za njia nane,ringroads na miradi mingine mingi.

Miradi hii kiukweli ilileta mabadiliko makubwa ya maendeleo ya miji na vijiji,na kuleta mvuto wa miji maeneo ambayo miradi hiyo ilipita.

Baada ya kifo Cha Hayati Magufuli, aliyekuwa Rais wa awamu ya tano kuna mijadara mingi mitaani kuhusu kuendelezwa kwa hii miradi,katika pitapita nikakutana na hili la kusitishwa kwa ujenzi wa ringroad ya kati ya jiji la Dodoma ambayo ilipotia maeneo ya mtaa wa Nkuhungu

Mkurugenzi wa jiji la Dodoma amesitisha ujenzi wa ringroad hiyo na kuwaruhusu wananchi waendelee na shughuli zao za ujenzi kama kawaida, hii ni baadhi ya miradi ambayo iliasisiwa kipindi Cha Hayati Magufuli enzi za uhai wake ktk kulifanya jiji la Dodoma kuwa na muonekano mzuri na uliopangika vizuri.

Kwasasa mitaani watu wanajasili je hii miradi iliyoasisiwa na Hayati Magufuli itakamiika kweli!? au ndo hivyo tena itabaki hadithi ilisiyokuwa na mwisho!

Japo kuna siku nilimsikia Waziri Mkuu aliwatoa wasiwasi watanzania kwa kusema , watu waondoe mashaka miradi yote ya kimkakati iliyoasisiwa na Serikali ya tano yote itakamilishwa kwa muda uleule uliokuwa umekadiliwa awali enzi za uhai wa Hayati Magufuli.

Je, ilikuwa ni kuwatuliza watu pressure za mashaka au ! Kama hii miradi midogo imeanza kusitishwa mdogomdogo je hii mingine ya mabilioni ya pesa itakuwaje? Anyway ngoja tuone mambo yatakuwaje, ila wananchi tukeyatunza maneno ya Waziri Mkuu kwenye kumbukumbu zetu, alitutia moyo na kutuondoa mashaka kwamba miradi yote iliyoasisiwa na Serikali ya awamu ya tano itakamilika.

Waziri Mkuu tunakumbuka maneno yako,ipo siku tutataka utupe maelezo ,ilikuwaje?

View attachment 1812069
Huku kwetu kuna shule iliahidiwa kuchukuliwa kwa ajili ya watoto wetu tena ni kubwaaa kwa primary na secondary mpaka High school,lakini tunaambiwa kwa Sasa haipo hata ktk bajeti ya mwaka 2021/2022 labda mwakaniii.
Yani daah
 
Watu huwa wanatizama mbali miaka hata mia mbili mbele huko.

Magufuli alikuwa anatambua kwamba baada ya miaka kadhaa, dodoma itafurika watu.

Ndio maana akaanza kuandaa miundombinu ya kimkakati ili wakati ukifika, watu wasianze kuzubaa zubaa na kutaabika ili shughuli za uchumi ziende haraka haraka na kwa wepesi.

Hiyo inaitwa akili ya kutizama mbali, yaani maono. Na sio kila mtu anaweza kuwa na akili ya aina hiyo hususani watu goigoi kama wewe mnaoishi kwa ujanja ujanja na utapeli wa kisiasa.

Nyinyi magoigoi kwa jinsi mlivyo na akili ya kutawaza mavi tu, mkipewa mlijenge hilo jiji la dodoma, mawazo yote yapo kwenye kuiba pesa za saruji na nondo ili mkanunue mishkaki na magari.

Nchi inayoongozwa na wanuka mikojo wasio na maono mapana ya muda mrefu itaishia kuwa ya ajabu ajabu tu.

Kwa mfano wewe, huna unalolijua zaidi ya kusubiri kuiba nondo na kula machips.
Mzee umempiga nondo Huyu bwege na ndugu zake wanawaza mishikaki tu na bia,wanasahau vizazi vyao
 
Hapa hautawaona kina missile of the toilet..babati..robert herielii..wao huwa wanakuja kwenye mada za kuwasuta kina sabaya na makondaa..
Mzee alishasema..mtanikumbukaaa..tartiiibuuu tunaelekea hukoo..
Hao unaowataja ni watumishi wa serikali walibanwa kuiba,sa hivi wanafurahia kuendelea kula nguruwe wakati nchi inajiokoteza okoteza
 
Upembuzi yakinifu lazima ufanyike
Upembuzi yakinifu maana yake nini?

Hii nchi ilihitaji kiongozi shupavu anayeweza kuisukuma mbele kwa nguvu. Na mtu pekee aliyeweza kufanya hivyo ni Magufuli pekee.

Nchi lazima ijengwe na wenye akili na wanaojitambua, sio MAJIZI wanaojificha kwenye maneno ya kitapeli na ujanja ujanja.

Mara sijui upembuzi yakinifu sijui nini nini! Upuuzi mtupu!

Ndio maana ndani ya miaka mitano tu, nchi imejengwa kweli kweli. Maana alikuwepo mtu anayejitambua.

Mabarabara, vituo vya afya, ndege, meli sijui manini. Kila mahali miundombinu.

Nyinyi magoigoi mmejifungia vyumbani mnajamba tu na kuja na stori uchwara, ati upembuzi yakinifu.

Fanya kazi, acha ujanja ujanja!

Huo upembuzi yakinifu kafanye na mmeo huko. Wananchi wanahitaji kazi sio blah blah.
 
Mwendazake alikosa vision
We mwizi wa saruji lazima ulie lie.

Nchi inajengwa na wanaume wa shoka, sio mabinti wanaojiliza mitandaoni kama wewe.

Ukipita pale juu kwenye flyover ya ubungo unakenua meno na kupanua makalio kwa raha zako, uwe unakumbuka kwamba kuna wanaume walifanya kazi pale.

Hiyo ndio maana halisi ya "vision".
 
DODOMA pabaya huwezi kupafanya pawe pazuri kwanza mkoa gani upo upo tu umepauka vile. Hiyo Miradi bora wapeleke Mtwara maana tutanufaika na gas na Samak,dagaa,korosho . Damn Dodoma
 
Back
Top Bottom